Billionea aliyemnunulia raila gari aina ya Hummer ampongeza ruto kwa kumtoa jela

Halafu Ruto anaeza kuwa next Presda wa Kenya. Jukwaani ana kwambia hapendi ufisadi na wizi! Kenya na wizi ni kama pete na kidole
Tanzania na umasikini ni kama chanda na pete.
 
Hivyo vyote unavipata Azam Tv, huyo jamaa Mohamed Ali nini kili mkuta! Alikua anajilipua sana. Hivi wale madogo wanao chezaga kwenye 10/10 huwa wanatolewa wapi.. wanalipwa? Maana wanajichetuaga si kidogo.
Sawa jombaa. Mohammed Ali bado yupo, ni mbunge siku hizi kule pwani, wanamuita Mheshimiwa Jicho la Simba. [emoji1] Huwa ananikosha si haba akikiwakilisha kiswahili bungeni. Mara nyingi nikiwa na muda huwa natizama The Trend, NTV. Sielewi za 10/10.
 
Umenikumbusha kuhusu rais flani aliyeamuru wabakaji waachiliwe kabla hawajamaliza kutumikia kifungo chao. Sijui na yeye pia tutamuitaje.
Mbakaji nambari moja...kaibaka Tz kiuchumi kwa zero return investments.
 
Sawa jombaa. Mohammed Ali bado yupo, ni mbunge siku hizi kule pwani, wanamuita Mheshimiwa Jicho la Simba. [emoji1] Huwa ananikosha si haba akikiwakilisha kiswahili bungeni. Mara nyingi nikiwa na muda huwa natizama The Trend, NTV. Sielewi za 10/10.
Safi sana kumbe ameula, hard work pays. Hiyo 10/10 niliona kwenye you tube harmonise alipewa shangwe sana na madogo walikua wanayarudi kama wako kwenye steroids.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Cheki kwa YouTube. Alisema atahamia Kenya. Wasanii wenu wanapenda Kenya kweli
Nitaicheck, ata wasanii wenu wana papenda bongo. Kwenye E.A.C Ke na Tz ndizo nchi zina mwingiliano mkubwa wa kitamaduni na ki mazingira, ata kwenye maendeleo ndiyo zina kimbizana. Kwa uzoefu wangu ni rahisi Mkenya kuwa karibu na Mtz and vice versa kuliko mtu wa nchi yoyote Africa. Hili utaligundua mkikutana njee ya nchii zenu.
 
True
 
December 3, 2018
Arusha, Tanzania

Mshirika wa Don Bosco Gichana katika kesi ya kutakatisha fedha US $ Milioni 18, wakili Median Mwale ahukumiwa miaka 7 jela na faini ya Tshs. 200 million. Don Bosco Gichana raia wa Kenya alipigwa faini ya Tshs. 300 Milioni na kuachiwa huru mwezi mmoja uliopita baada ya kusota rumande kwa miaka kadhaa .
Source : Azam TV
 
Kama alifungwa miaka mitano 2013 na hii ni 2018 ina maana katumikia kifungo chake chote.

Cha kushangaza, mleta mada anacheza na maandiko ya kutaka kutuaminisha kuwa Ruto amehusika na kutoka

kwa Bosco jela, wakati mfungwa anamshukuru tu kwa ushauri na kuongea nae kwa simu alipokuwa jela.
 
Si kwamba mnafuatikiwa sana, ni mfumo wetu wa elimu ndio unatu-expose kwenye vitu vingi sana, wakati nasoma shule ya msingi nililazimika kujua majina ya viongozi wa nchi zote za Afrika, nchi na miji mikuu yake.

Vv
 
sio kweli, unafikiri nje ya kipindi cha uchaguzi Kenya ni wakati gani mwingine watanzania wanajadili siasa za Kenya? Humu tunakadili kwasababu haiepukiki?
Ukitaka kujua yupi anamjadili yupi sana, fungua youtube badilisha location halafu angalia trendings kati ya tz na Kenya. 100% ya contents za trending in Tz ni za Tanzania, Kenya wana more than 7% ya Tanzania contents. Unafikiri kwenye jukwaa kama hili la wakenya hawamjui Lissu, Kabwe, Mbowe, Lema, Joseph Haule, Makonda, Jokate nk? Linganisha platforms ndo utapata fair comparison. Huwezi kukuta kijiwe cha kawaida Tanzania wanajadili kuhusu Kenya.
 
kwa sababu siasa zenu zimejaa mizengwe na vichekesho tuu ukitaka kujua sema hapa jana Mike sonko kafanya kituko gani huko kwenu?? mnaongozwa na viongozi wanapaka kiwi kichwani siasa yenu ni comedy tuu..
 
Inahitaji moyo wa kujitolea kusaidia maskini aliye kwenye matatizo, hasa kwa kufuata sheria. Ila mtu anayemsaidia tajiri aliye kwenye shida inajulikana ana sukumwa na nini hasa akitumia nguvu za ziada kutimiza lengo lake.
Kwhyo ni haki kw maskini kubaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…