Wanapiga kelele instagram wakati hela za bundle zenyewe wanangojea wapate matangazo
Umenena vema.Na wewe kwa akili yako unadhani hao washabiki wa Hamisa au Zari kuna mwenye uwezo wa kununua fenicha za Danube?
Yani mpaka aibu. Muda mwingine mpaka unatamani mitandao kama instagram ipigwe pini. Watu wanashinda mitandao kutukana watu tuuuuu yamkini pakulala na kula ni kuunga ungaHapo sasa wanashangaza kweli.
Mtu mwenye akili na shughuli ya kufanya hawez kuwa obsessed na Zari au Hamisa;yaani unamtukana Millionea eti kisa amempa tangazo Zari alafu unasema haununui bidhaa!hata huyo jamaa angekua anawajua asingepoteza muda wa kuwajibuUmenena vema.
Watu wenye uwezo wa kununua hizo bidhaa za huko hawana hata muda wa kujadili huo upuuzi na wengi wao hawapo Instagram.
Hao hawana uwezo hata wa kununua sahani za plastic!!
Aisee English.Wapi kajuta sasa?
Hebu tutolee ujinga wako na madharau kwetu, hao unawaamini mbona hawakuikoa uchumi supermarket hadi ikafungwa? Au pia wateje ndo sie wapiga domo wa insta? Wote tumefulia tu hayo makochi yao wapeleke Uganda
Mkuu mwenyewe yupo instagram na anapenda ushilawadu vilevile
Hebu tutolee ujinga wako na madharau kwetu, hao unawaamini mbona hawakuikoa uchumi supermarket hadi ikafungwa? Au pia wateje ndo sie wapiga domo wa insta? Wote tumefulia tu hayo makochi yao wapeleke Uganda
Mkuu mwenyewe yupo instagram na anapenda ushilawadu vilevile
Labda ana bahati ila ile mbaya!!Kama una bahati mbona ujachukuliwa na denube ata kutangaza kiti tu,
Hata akiambiwa laki hakuna hata mmojaKuna watanzania wanatia aibu , utafikiri wana hela hata za kununua kitu Danube.
Katika wote wanaotukana sijaona anaeweza kununua set ya kitanda kwa mil. 5
Hawana cha kununua zaidi ya maneno mengi.Naona zaidi katutukana tu Wala sio kujuta. Hao waandamaji wapambane na Hali zao
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji99] [emoji99] [emoji99] [emoji99] [emoji99]Nimekuja fasta nikidhani TRA wamewapiga paga.... Kumbe kusutana
Serikali ikubali kuingia hasara kuwabadilisha wanawake Software zao za Medular
Insta kuna wazushi sana. Halafu wengi sound tu. Hawana loloteJaman jaman jaman tusitukanane heee wengi wanaomiliki insta midomo juu hawana uwezo wa kununua hata kijiko danube,account nyingi za umbea zinategemea matangazo ya wafanyabiashara wadogo wadogo kwa sh elfu kumi kwa wiki mbili au mwezi hio hela ya kushop danube wataipatia wapi sasa
Jamaa kawajibu kuhusu kuandika complaints kwa email na kuwaambia muwe wasomi sio kulalamika kwenye account yake binafsi ya insta ila sasa watu mnachekelea eti mmemkomesha anajuta aiseeee
Nimekuja fasta nikidhani TRA wamewapiga paga.... Kumbe kusutana
Serikali ikubali kuingia hasara kuwabadilisha wanawake Software zao za Medular
Hu Hu Hu Hu Hu Hu Hu Hu Huniwe na wivu wa nini? ungejua bahati zangu ohoo.mimi nimeleta tu habari mkuu