Billionea wa Danube ajuta kuwekeza Tanzania

Billionea wa Danube ajuta kuwekeza Tanzania

Acheni upumbavu,wenye uwezo wa kuingia shoping DANUBE hawako insta ,unasusa wakati huna uwezo!Ni sawa na uswahilini kususia bucha
 
Hakuna mwenye hela za kununua chochote pale danube kati yao.....Hao wengi ni vichwa maji tuuu...
 
Huko insta kumenuka baada ya mashabiki wa Hamisa kuwashtaki danube Tanzania kwa kumzalilisha hamisa pia kwa kumtumia zari kwenye ufunguzi wa duka lao Tanzania huku wakijua sio mtanzania,hana kibali cha kufanya kazi bongo pia anahusika na video ya ngono .

Watanzania hao wameenda kwenye page yake wakiwa na kampeni ya kutonunua pia vitu vya danube billionea huyo ameonekana amechanganyikiwa amewajibu hivi

All this can be communicated on emails and not on my personal insta. U wud not like if some one writes like this on your wall. U people r educated so thats what i can tell you. Thankyour for your understndg
Kujuta maana yake nini?
 
Kuna watanzania wanatia aibu , utafikiri wana hela hata za kununua kitu Danube.

Katika wote wanaotukana sijaona anaeweza kununua set ya kitanda kwa mil. 5
[emoji2][emoji2]wengine pakulala hawana
 
" na hizi hereni za danube piya"
280316.jpg
 
Mimi nashangaa mtu akisema eti Hamisa kadhalilishwa 😀 wapi kadhalilishwa? Yeye mwenyewe anaona faghari kutiwa mhogo na boyfriend wa mtu. sasa anadhalilishwa na nani?
 
Zari ni lazima kwa sasa ana uraia Wa Tz....wanashindana naye ila hawataweza hata siku moja kawazidi kila kitu mange mwenyewe hamkuti kwa pesa na akili hata chembe aliyepewa kapewa.
 
Hayo ni mambo yao sisi yanatuhusu nini?

BTW unaishusha hadhi JF kwa kuleta habari za insta!
 
wanaopiga kelele huko insta wote sio wanunuaji kufikia hadhi ya kununua bidhaa za Danube,waganga njaa tuu hao....

Ubaya watanzania tuna vichuki chuki visivyo na mbele wala nyuma,tena kwa mtu ambaye hata kumkaribia huwezi kumkaribia kiuchumi.
 
Huko insta kumenuka baada ya mashabiki wa Hamisa kuwashtaki danube Tanzania kwa kumzalilisha hamisa pia kwa kumtumia zari kwenye ufunguzi wa duka lao Tanzania huku wakijua sio mtanzania,hana kibali cha kufanya kazi bongo pia anahusika na video ya ngono .

Watanzania hao wameenda kwenye page yake wakiwa na kampeni ya kutonunua pia vitu vya danube billionea huyo ameonekana amechanganyikiwa amewajibu hivi

All this can be communicated on emails and not on my personal insta. U wud not like if some one writes like this on your wall. U people r educated so thats what i can tell you. Thankyour for your understndg
Ndio kiingereza Chake hicho?
 
mi nikajua labda nayeye kalalamika kama dangote inshu za kodi na sheria zetu za uwekejazaji kumbe porojo za wambea wa ista
 
Jaman jaman jaman tusitukanane heee wengi wanaomiliki insta midomo juu hawana uwezo wa kununua hata kijiko danube,account nyingi za umbea zinategemea matangazo ya wafanyabiashara wadogo wadogo kwa sh elfu kumi kwa wiki mbili au mwezi hio hela ya kushop danube wataipatia wapi sasa

Jamaa kawajibu kuhusu kuandika complaints kwa email na kuwaambia muwe wasomi sio kulalamika kwenye account yake binafsi ya insta ila sasa watu mnachekelea eti mmemkomesha anajuta aiseeee
Kuna dada mmoja huko aliandika hatununui na hivo vitu vya Danube, kumcheki picha zake kwenye profile dah hadi unajisikia huruma
 
Back
Top Bottom