Sema akawa hana namna zaidi ya kukaa pembeni akisubiri jamaa afe.Nenga alikuwa anamla kitambo, 'Boss' Ruge aliingilia kati kiubabe Nenga akawa hana namna zaidi ya kukaa pembeni tu asije akazimiwa data bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana ni kati ya watu waliokuwa wakifurahia msiba wa jamaa[emoji1]Sema akawa hana namna zaidi ya kukaa pembeni akisubiri jamaa afe.
Acha basi!
Yani hakuna shaka kuwa Nandy anampenda sana Billnas Ruge alikuwa tu daraja na angeolewa nae bado Nenga angeendelea kumla mtoto.Sijui kati ya Ruge au Billnass nani alikuwa anamgongea mwenzie na huyu Nandy alikuwa ana wahandle wote.
Ila mtoto wa kike kutoboa kwenye mziki ni kazi sana.
sasa si naskia boss Ruge alikua kaungua na alikuwa anakula huyo Nandi au?
Nilitegemea coment hii [emoji3][emoji3][emoji3]Wataachana tu
sasa si naskia boss Ruge alikua kaungua na alikuwa anakula huyo Nandi au?
Inaonekana Nandy alikuwa bado anamkubali Nenga..Nguvu ya pesa ndo ilimpeleka kwa Ruge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inamaana kama boss ruge angekuwepo basi nenga angekuwa anakula kwa macho tuuInaonekana Nandy alikuwa bado anamkubali Nenga..Nguvu ya pesa ndo ilimpeleka kwa Ruge.
Sent using Jamii Forums mobile app