Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
[emoji23] [emoji23] Anaemcheka mwenzie na anaechekwa wote sare sare ngoko,,ila wanaume mh[emoji41]Wanamuziki Billnas na mwenzake Barnaba wameiponda miguu ya dogojanja na kudai kwamba jamaa ana miguu membamba kama chelewa.
Billnas alienda mbali zaidi kwa kudai kwamba jamaa ashukuru Mungu mtoto wake Krish anasoma international school bila hivyo kama angekuwa anasoma Kayumba halafu siku akaaigizwa chelewa basi dogo janja angeamka asubuhi angejikuta hana miguu .
View attachment 920561View attachment 920562
Rahaa ya CCM wewe apo![emoji4][emoji4][emoji4]Raha ya Irene huyo.. [emoji4]
Hamnaga mtu mwembamba ni suala la muda tu. Kaka angu alikuwa mwembamba hatari.. hadi nguo alikuwa anavaa mbilimbili.. lakin alipokuja tusua maisha, alivuta shavu balaaa.. sasa hiv anahangaika kupunguza uzitoNimetabiri miaka 5-7 ijayo dogo janja atakuwa mnene. Nani alidhan qchief-chilla na Mwana FA watanenepa?
Former bf sio?Raha ya Irene huyo.. [emoji4]
Hizi ndizo Habari za watanashati wa mjini Kama HuyuWanamuziki Billnas na mwenzake Barnaba wameiponda miguu ya dogojanja na kudai kwamba jamaa ana miguu membamba kama chelewa.
Billnas alienda mbali zaidi kwa kudai kwamba jamaa ashukuru Mungu mtoto wake Krish anasoma international school bila hivyo kama angekuwa anasoma Kayumba halafu siku akaaigizwa chelewa basi dogo janja angeamka asubuhi angejikuta hana miguu .
View attachment 920561View attachment 920562
Alinenepa mike T mnyaluNimetabiri miaka 5-7 ijayo dogo janja atakuwa mnene. Nani alidhan qchief-chilla na Mwana FA watanenepa?
Former bf sio?
Rahaa ya CCM wewe apo![emoji4][emoji4][emoji4]