Billnas& Barnaba waiponda miguu ya dogo janja.

Billnas& Barnaba waiponda miguu ya dogo janja.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Wanamuziki Billnas na mwenzake Barnaba wameiponda miguu ya dogojanja na kudai kwamba jamaa ana miguu membamba kama chelewa.

Billnas alienda mbali zaidi kwa kudai kwamba jamaa ashukuru Mungu mtoto wake Krish anasoma international school bila hivyo kama angekuwa anasoma Kayumba halafu siku akaaigizwa chelewa basi dogo janja angeamka asubuhi angejikuta hana miguu .

dogojanjatz-20181104-0001.jpeg
20181104_022537.jpeg
 
Utani wa ngumi huo eti anatembelea chelewa!!!
 
Wanamuziki Billnas na mwenzake Barnaba wameiponda miguu ya dogojanja na kudai kwamba jamaa ana miguu membamba kama chelewa.

Billnas alienda mbali zaidi kwa kudai kwamba jamaa ashukuru Mungu mtoto wake Krish anasoma international school bila hivyo kama angekuwa anasoma Kayumba halafu siku akaaigizwa chelewa basi dogo janja angeamka asubuhi angejikuta hana miguu .

View attachment 920561View attachment 920562
[emoji23] [emoji23] Anaemcheka mwenzie na anaechekwa wote sare sare ngoko,,ila wanaume mh[emoji41]
 
wanamiguu ya kike
mguu wa wanaume unatakiwa ujikate
 
Nimetabiri miaka 5-7 ijayo dogo janja atakuwa mnene. Nani alidhan qchief-chilla na Mwana FA watanenepa?
Hamnaga mtu mwembamba ni suala la muda tu. Kaka angu alikuwa mwembamba hatari.. hadi nguo alikuwa anavaa mbilimbili.. lakin alipokuja tusua maisha, alivuta shavu balaaa.. sasa hiv anahangaika kupunguza uzito
 
Wanamuziki Billnas na mwenzake Barnaba wameiponda miguu ya dogojanja na kudai kwamba jamaa ana miguu membamba kama chelewa.

Billnas alienda mbali zaidi kwa kudai kwamba jamaa ashukuru Mungu mtoto wake Krish anasoma international school bila hivyo kama angekuwa anasoma Kayumba halafu siku akaaigizwa chelewa basi dogo janja angeamka asubuhi angejikuta hana miguu .

View attachment 920561View attachment 920562
Hizi ndizo Habari za watanashati wa mjini Kama Huyu
 
Back
Top Bottom