Billnas wenzako hawajaanza ivo!

Kama alivyosema Dangote the advocate, kuishi na TID sio kazi ndogo... TID mkorofi by nature! Hata hivyo, kuna cku niliisikia interview ya Bill Nas. Labda kama kuna interview nyingine, lakini ambayo niliisikia alitoa respect nyingi sana kwa TID na Radar. Kitu ambacho nilikiona toka kwake ni kama mtu anayetafuta fursa zaidi... anyway, ile interview nilianza kumsikia TID akimwaga mbovu kama kawaida yake! Kabla Bill Nas hajaongea, hata mimi nilimuona dogo kavu lakini baada ya kusikia upande wa pili wa stori; tena bila kuiponda Radar au TID; hapo hapo nikamwelewa!
 
TID hapendi kudharaulika ndo mana anaonekana mkorofi
 
Sure..Tid ana comedy nyingi..Uwa napenda interview zake..Anaweza kuongea/kumdiss mtu yeyote bila kuogopa..Na nadhani wasanii wenzake wanamuelewa ndo mana hawadili nae

TID Mnyama, sijawahi kumsikia akimsema vizuri msanii yeyote yule! Especially wale aliofanya nao kazi before.
 
TID Kakataa kuwa hakumsajili kwenye radar alpohojiwa kwenye kipindi cha kina soudy brown ijumaa clouds tv, pia alisema dogo niii,.... "CHICKEN HEAD "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…