BILLS mpya yachuniwa

BILLS mpya yachuniwa

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855
taarifa ni kuwa baada ya FM aka poster mwenzetu humu kufanya ukarabati watu bado wanaendelea kuichunia na matokeo yake Bill pamejaa watindiga,wanyalukolo,wanyakyu na washamba wengineo ambao wanalipa 40,000 kama kiingilio wakati kule Graden Bistro kiingilio ni kile kile buku kumi

hivi mlioenda humo bills mpya mnasemaje kuna kipaya u yale yale?
 
taarifa ni kuwa baada ya FM aka poster mwenzetu humu kufanya ukarabati watu bado wanaendelea kuichunia na matokeo yake Bill pamejaa watindiga,wanyalukolo,wanyakyu na washamba wengineo ambao wanalipa 40,000 kama kiingilio wakati kule Graden Bistro kiingilio ni kile kile buku kumi

hivi mlioenda humo bills mpya mnasemaje kuna kipaya u yale yale?

sishabikii biashara za night club wala Bills ila nimesikitishwa sana na maneno yako ya kibaguzi na kikabila. Hivi GT unataka kusema Watindiga (sijui ni watu gani), Wanyalukolo na Wanyakyu (Wanyakyusa) ni washamba?!!! wewe kabila lako ndo la wajanja! LOL
 
kwani kuna ubaya gani mtu kuwa mshamba? kwani huko wanakotoka makabila hayo si ndiko kwenye mashamba makubwa makubwa nchi hii?

mbona unaanza kuwa emotional bila sababu asubuhi hiii?

Unless unaweza kunionyesha wapi neno mshamba ni tusi katika kiswahili sanifu
 
Nimekuwa offended na kutaja kwako hayo majina kuwa ni washamba! nafikiri ingekuwa vyema kama ungeiwakilisha hoja yako bila kutoa kashfa kwa kabila lolote katika nchi hii.Hii naiona ni kama kauli ya kibaguzi na inayolenga kwenye kuchochea ugomvi wa kikabila katika hili jamvi.

GT, utakuwa mstaarabu sana kama utafuta kauli yako ya mwanzo na kuomba msamaha kwa waliokasirishwa na kitendo chako cha kuyakashifu makabila yao nikiwemo mimi niliyeandika post hii.

Nasubiri utekelezaji.
 
Nimekuwa offended na kutaja kwako hayo majina kuwa ni washamba! nafikiri ingekuwa vyema kama ungeiwakilisha hoja yako bila kutoa kashfa kwa kabila lolote katika nchi hii.Hii naiona ni kama kauli ya kibaguzi na inayolenga kwenye kuchochea ugomvi wa kikabila katika hili jamvi.

GT, utakuwa mstaarabu sana kama utafuta kauli yako ya mwanzo na kuomba msamaha kwa waliokasirishwa na kitendo chako cha kuyakashifu makabila yao nikiwemo mimi niliyeandika post hii.

Nasubiri utekelezaji.

Mhhhh..!! sio GT
 
Last edited:
taarifa ni kuwa baada ya FM aka poster mwenzetu humu kufanya ukarabati watu bado wanaendelea kuichunia na matokeo yake Bill pamejaa watindiga,wanyalukolo,wanyakyu na washamba wengineo ambao wanalipa 40,000 kama kiingilio wakati kule Graden Bistro kiingilio ni kile kile buku kumi

hivi mlioenda humo bills mpya mnasemaje kuna kipaya u yale yale?

So sie tulitoka huko mashambani washamba sio; wewe umetoka wapi? ukoo je? kabila lako ni lipi ambalo ni la wajanja; unaweza kuprove kuwa kabila lenu wote hawaendi; najua unapigia debe hiyo yako lakini shirikisha ubongo kidogo ndg sio kukashifu watu ovyo namna hii
 
taarifa ni kuwa baada ya FM aka poster mwenzetu humu kufanya ukarabati watu bado wanaendelea kuichunia na matokeo yake Bill pamejaa watindiga,wanyalukolo,wanyakyu na washamba wengineo ambao wanalipa 40,000 kama kiingilio wakati kule Graden Bistro kiingilio ni kile kile buku kumi

hivi mlioenda humo bills mpya mnasemaje kuna kipaya u yale yale?

So sie tulitoka huko mashambani washamba sio; wewe umetoka wapi? ukoo je? kabila lako ni lipi ambalo ni la wajanja; unaweza kuprove kuwa kabila lenu wote hawaendi; najua unapigia debe hiyo yako lakini shirikisha ubongo kidogo ndg sio kukashifu watu ovyo namna hii; mtu mwenyewe hata hujafika hapo unaanza kulalama hapa;ukifika je? I term this is SICKNESS
 
Mhhhh..!! sio GT

Ni nani sasa kama sio GT? Au unataka kusema kaibiwa password? Kama ndivyo basi atakuja mwenyewe kuikana kauli hiyo ya kibaguzi na kikabila. Na kama akikaa muda mrefu bila kuikana, basi maybe tuamini either huyo ndo GT wa sasa au maybe GT halisi hayupo tena humu JF na wala hajui kinachoendelea !
 
taarifa ni kuwa baada ya FM aka poster mwenzetu humu kufanya ukarabati watu bado wanaendelea kuichunia na matokeo yake Bill pamejaa watindiga,wanyalukolo,wanyakyu na washamba wengineo ambao wanalipa 40,000 kama kiingilio wakati kule Graden Bistro kiingilio ni kile kile buku kumi

hivi mlioenda humo bills mpya mnasemaje kuna kipaya u yale yale?

GT vp? Umetumwa na Gadern Bistro ufanye marketing while sabotaging BILLS???.

Kuhusu maneno "mshamba" naomba nikukumbushe kule Sekondari kwenye Kiswahili wakati tunasoma somo la fasihi kwamba fasihi simulizi hubadilika kulingana na mazingira. This means inategemea na unachokiongea, ni wakati gani, ni wapi na ni kwa nini? Ukienda gereji ya magari utasikia mafundi gari wanatukanana "kichwa kama gia box", likewise, kwa wauza mitumba utasikia "kichwa kama robota la mitumba" It is all about the sorrounding environment!! Ni kama iliyo kwa maeneo ya bara kwamba kuna maneno yakitamkwa bara yanaonekana matusi lakini kwa Pwani shega tu, hata baba na mtoto wanabadilishana, shwari tu.

Coming to our topic, kumwita mwenzako mshamba (leaving apart whether it is defined by TUKI or not) kama ilivyozoeleka ni KASHFA! Am sure kwenye kamusi ya Kiswahili sanifu, japo sipo nayo hapa, wameelezea maana ya mshamba closer to what is taken to mean in our society.

Hivi uligunduaje kwamba BILLS wamejaa washamba wanaolipa 40K? Au na wewe uliaamua kuwa Mtindiga? Hata hivyo kwa definition yangu binafsi, mshamba ni kinyume cha neno mjanja! Sasa je, nani mshamba anayelipa 40K Bills au 10K Gadern Bistro.

Kama kwa definition ya GT, wa 40K ndo mshamba nafikiri atarudi palepale kwamba anayekwenda Masaki Gadern Bistro ndo mshamba zaidi if he/she is using a tax for e.g. for go & return. Kwa Bills full daladala mzee, but Masaki either "uprint" au tax though inategemea mtu anaishi wapi.

NAOMBA KUWAKILISHA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Turudi kwenye HOJA

hivi mlioenda humo bills mpya mnasemaje kuna kipaya u yale yale?

then tutaanzisha thread nyingine ya kujadili "u-shamba" na "u-mjini"
 
Turudi kwenye HOJA

hivi mlioenda humo bills mpya mnasemaje kuna kipaya u yale yale?

then tutaanzisha thread nyingine ya kujadili "u-shamba" na "u-mjini"

nimepita pale ..uwongo mbaya jamaa wamejitahidi sana...hakuna club inayoifikia bills tanzania kwa sasa...alafu kingine walichonifurahisha ni kuwa ile barabara ya mkwepu kwenye ile parking yao kote wameweka pavements na vigae chini ....hafi access road..kwa kweli amefanya pale kote pakabadilika...na ni mfano kwa wafanya biashara wenye uwezo wa kujenga barabara za mitaa yao kwa feza zao waige pale.....maana unakuta mtu amejenga jumba la bilioni 2 ...lakini barabara ya kwenda kwake ya milioni 300 anaona ubahili kujenga ...na kufanya hata heshima na dhamani ya nyumba yake isionekane....

hongera billicanas group.!
 
Mimi nimeenda pale juzi kihisia.Kwa kweli ni sehemu ya "serious clubing people"Sasa na wewe kaka hiyo "rinovesheni" yote hiyo unataka kiingilio kiwe buku 10 au 5 za sound????acheni hizo.Starehe gharama bana na kama huwezi kecheze disco vumbi,mbona Yombo Dovya zipo nyingi tuu!!
 
Badala ya kusikia maneno ya kusimuliwa, nakushauri mkuu uende mwenyewe ukajionee
 
GT inaelekea ana damu ya kijani kwahiyo kitu chochote ambacho hakielekei "KICCM" ni kitu cha washamba tu ; wajajnja ndio hao wa RICHMOND, EPA, DEEP GREEN, MEREMETA etc. Siku zenu zinahesabika mtaipata fresh!!
 
taarifa ni kuwa baada ya FM aka poster mwenzetu humu kufanya ukarabati watu bado wanaendelea kuichunia na matokeo yake Bill pamejaa watindiga,wanyalukolo,wanyakyu na washamba wengineo ambao wanalipa 40,000 kama kiingilio wakati kule Graden Bistro kiingilio ni kile kile buku kumi

hivi mlioenda humo bills mpya mnasemaje kuna kipaya u yale yale?

Wewe una matatizo yako na Mbowe... Hao washamba ndio wana-afford na macheki-bobu wenzako wako Bistro wanakula kashata za wahindi, rejea vyanzo vyako vya habari halafu angalia kama wanaweza 10k au 40k; ukishamaliza angalia hao washamba halafu ukalale

Mshamba my @$$
 
Turudi kwenye HOJA

hivi mlioenda humo bills mpya mnasemaje kuna kipaya u yale yale?

then tutaanzisha thread nyingine ya kujadili "u-shamba" na "u-mjini"

Wawo wawo! kama ninaona double double vile, au mimi ndio nina makengeza nini jamani? Baba_Enock,, Game Theory!

jamani kazi njema
 
Back
Top Bottom