Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
Wakuu rodi license na bima ya gari vinaelekea kuisha siku si nyingi zijazo.gari si biashara.
Hivi ni kweli saivi nitatakiwa kukata bima tu? na wala sihitaji tena kuwa na rodi license? mbona naona km ndoto mwenzenu? natembeaje bila rodi license?
Niwekeni sawa kidogo hapa au kuna tozo gani zngine ukiondoa hiz?
Hivi ni kweli saivi nitatakiwa kukata bima tu? na wala sihitaji tena kuwa na rodi license? mbona naona km ndoto mwenzenu? natembeaje bila rodi license?
Niwekeni sawa kidogo hapa au kuna tozo gani zngine ukiondoa hiz?