Bima ya Afya isiwe lazima, Serikali msitake faida tu, wekezeni

Bima ya Afya isiwe lazima, Serikali msitake faida tu, wekezeni

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Amesikika Waziri Ummy akidai wadau wanataka bima ya afya kuwa lazima.

Amekwenda mbali kuonesha wastani wa mapato ya chini ya mtanzania kuwa 137,000/- kwa mwezi. Ingependeza tukajua wastani wa mapato kwa mwezi kwake yeye kama waziri ni kiasi gani.

Wadau wataka ulazima bima ya afya

Kwanini serikali isiwekeze kwenye bima hizi na ikaboresha huduma za afya kuwavutia watu kujiunga wenyewe na bima hizo?

Wenzetu nyie mnaojiita wadau siyo kuwa hata bima hizi huwa tunawalipia sisi? Siyo kuwa nyinyi mmejiwekea hadi vipengele vya kutibiwa kwao mabeberu?

Kwani yule aliye hofu nchi kuuzwa siyo tulimlipia mabilioni kwa kucheki afya yake tu nje ya nchi, yeye na wasaidizi wake? Kwani ninyi mnaojiita wadau mlilipa kiasi gani kwa ajili ya mwenzenu huyo?

Wacheni kutuhadaa huku mkituaandaa kisaikolojia kutupiga kwa mara nyingine tena.

Kwani zile pesa kwenye bajeti ya wizara ya afya huwa zinatumika wapi kama dawa, kumwona daktari, kulazwa, mortuary na mazaga zaga yote huwa walala hoi sisi tunayalipia 100% na faida juu?

Kwani nyie huduma ipi huwa mnailipia mkiwa na tiketi zenu kama walamba asali?

Kama vile haitoshi sasa mnataka kuvuna tena msipo panda.

----------
Serikali haipo kwa maslahi yetu bali kufanikisha upigaji wao
 
Bima hata haina Cha maana utakachotibiwa , TOFAUTI na Marelia na UTI Sugu.

Lengo si kutibu bali kama Bill Gates wanataka makusanyo kwa kila kaya. Takwimu si wanazo baada ya sensa ya makazi?

Tusiache kuwapigia kelele kina zungu Mwigulu hawa.

Wametumwa Hela za kampuni na ni siri.
 
Lengo si kutibu bali kama Bill Gates wanataka makusanyo kwa kila kaya. Takwimu si wanazo baada ya sensa ya makazi?

Tusiache kuwapigia kelele kina zungu Mwigulu hawa.

Wametumwa Hela za kampuni na ni siri.
Sawa lakini acha illussion

Bima na Bilgate wapi na wapi
 
Amesikika waziri Ummy akidai wadau wanataka bima ya afya kuwa lazima.

Amekwenda mbali kuonyesha wastani wa mapato ya chini ya mtanzania kuwa 137,000/- kwa mwezi. Ingependeza tukajua wastani wa mapato kwa mwezi kwake yeye kama waziri ni kiasi gani.

Wadau wataka ulazima bima ya afya

Kwanini serikali isiwekeze kwenye bima hizi na ikaboresha huduma za afya kuwavutia watu kujiunga wenyewe na bima hizo?

Wenzetu nyie mnaojiita wadau siyo kuwa hata bima hizi huwa tunawalipia sisi? Siyo kuwa nyinyi mmejiwekea hadi vipengele vya kutibiwa kwao mabeberu?

Kwani yule aliye hofu nchi kuuzwa siyo tulimlipia mabilioni kwa kucheki afya yake tu nje ya nchi, yeye na wasaidizi wake? Kwani ninyi mnaojiita wadau mlilipa kiasi gani kwa ajili ya mwenzenu huyo?

Wacheni kutuhadaa huku mkituaandaa kisaikolojia kutupiga kwa mara nyingine tena.

Kwani zile pesa kwenye bajeti ya wizara ya afya huwa zinatumika wapi kama dawa, kumwona daktari, kulazwa, mortuary na mazaga zaga yote huwa walala hoi sisi tunayalipia 100% na faida juu?

Kwani nyie huduma ipi huwa mnailipia mkiwa na tiketi zenu kama walamba asali?

Kama vile haitoshi sasa mnataka kuvuna tena msipo panda.

----------
Serikali haipo kwa maslahi yetu bali kufanikisha upigaji wao
Iwe lazima Ila Huduma zote zipatikane bure
 
Ukijilipua ulaya bima ni lazima tena utake usitake. ushawai kuuliza viza zao
 
Sawa lakini acha illussion

Bima na Bilgate wapi na wapi

Kuwa billionaire Bill Gates akiwa shule akapata wazo la utajiri:

"Zipo kaya ngapi duniani akapiga hesabu kupata hata $1 kwa kaya."

Huoni hawa kama yeye wanapiga hesabu kwa kaya kwa kaya kwa mwaka?

Usiwahi kuona illusions kwa wengine kumbe mwenye nazo ni wewe.
 
Ukijilipua ulaya bima ni lazima tena utake usitake. ushawai kuuliza viza zao

Kwani ulaya uliwekeza nini? Sisi hapa kodi na tozo ndiyo kwao hadi kaburini.
 
Ukijilipua ulaya bima ni lazima tena utake usitake. ushawai kuuliza viza zao
Usilinganishe health insurance ulaya na hapa bongolala, kule uwazi na uwajibikaji upo juu sana kuliko hapa bongolala pesa zinakombwa kiholela kutoka mfuko wa bima ya afya achilia mbali mifuko ya hifadhi ya jamii........ndo maana hata kila mtu akilipa bado utakutana na huduma duni, pesa zimeenda kwa walamba asali.
 
lengo la serikali haitaki kuwajibika kwa raia zake inataka kuvuna mwanzo mwisho ila wanacholenga ni ili hawa vijana walioajiriwa na wanakata bima kwakuwa hawaumwi wanataka wasitumie kitambulisho chao kuwatibia wazee au wazazi wao wazee wanaumwa mara kwa mara hivyo bima huwajibika kulipa hivyo akina mwigulu wameshauri bima iwe kwa wote ili wazee wajitegemee pesa za vijana liwe netprofit ya bima kwakuwa hawaumwi majority Bima ni wizi kama wizi mwingine hata kama itakuwa kwa wote basi isiwe lazima mtu akate pale anapoona ana matatizo ya maradhi hii yakusema eti pato la chini 130000kwa mwezi wapi na wapi wakati mfanyakazi anayeshona nguo A to Z arusha walipa 100000 moja kwa mwezi huyo mfanyakazi akitoa kodi ya nyumba 45,000ana bakiwa na 55,000atowe sabuni chakula hapo pato la 130,000liko wapi sasa huyu ameajiriwa kiwandani je yule asiyeajiriwa yuko kijijini ikoje mwezi unaisha hajashika 10,000pato la 130,000litatoka wapi wenzetu wenye uchumi mkubwa na hufanya bima kwa wote ila bado inawasumbua
 
Amesikika Waziri Ummy akidai wadau wanataka bima ya afya kuwa lazima.

Amekwenda mbali kuonesha wastani wa mapato ya chini ya mtanzania kuwa 137,000/- kwa mwezi. Ingependeza tukajua wastani wa mapato kwa mwezi kwake yeye kama waziri ni kiasi gani.

Wadau wataka ulazima bima ya afya

Kwanini serikali isiwekeze kwenye bima hizi na ikaboresha huduma za afya kuwavutia watu kujiunga wenyewe na bima hizo?

Wenzetu nyie mnaojiita wadau siyo kuwa hata bima hizi huwa tunawalipia sisi? Siyo kuwa nyinyi mmejiwekea hadi vipengele vya kutibiwa kwao mabeberu?

Kwani yule aliye hofu nchi kuuzwa siyo tulimlipia mabilioni kwa kucheki afya yake tu nje ya nchi, yeye na wasaidizi wake? Kwani ninyi mnaojiita wadau mlilipa kiasi gani kwa ajili ya mwenzenu huyo?

Wacheni kutuhadaa huku mkituaandaa kisaikolojia kutupiga kwa mara nyingine tena.

Kwani zile pesa kwenye bajeti ya wizara ya afya huwa zinatumika wapi kama dawa, kumwona daktari, kulazwa, mortuary na mazaga zaga yote huwa walala hoi sisi tunayalipia 100% na faida juu?

Kwani nyie huduma ipi huwa mnailipia mkiwa na tiketi zenu kama walamba asali?

Kama vile haitoshi sasa mnataka kuvuna tena msipo panda.

----------
Serikali haipo kwa maslahi yetu bali kufanikisha upigaji wao
Ukiwekeza si watataka wwpewa bure
Yaani
Mama wajawazito
Wazee
Watoto Wote ni bure
 
lengo la serikali haitaki kuwajibika kwa raia zake inataka kuvuna mwanzo mwisho ila wanacholenga ni ili hawa vijana walioajiriwa na wanakata bima kwakuwa hawaumwi wanataka wasitumie kitambulisho chao kuwatibia wazee au wazazi wao wazee wanaumwa mara kwa mara hivyo bima huwajibika kulipa hivyo akina mwigulu wameshauri bima iwe kwa wote ili wazee wajitegemee pesa za vijana liwe netprofit ya bima kwakuwa hawaumwi majority Bima ni wizi kama wizi mwingine hata kama itakuwa kwa wote basi isiwe lazima mtu akate pale anapoona ana matatizo ya maradhi hii yakusema eti pato la chini 130000kwa mwezi wapi na wapi wakati mfanyakazi anayeshona nguo A to Z arusha walipa 100000 moja kwa mwezi huyo mfanyakazi akitoa kodi ya nyumba 45,000ana bakiwa na 55,000atowe sabuni chakula hapo pato la 130,000liko wapi sasa huyu ameajiriwa kiwandani je yule asiyeajiriwa yuko kijijini ikoje mwezi unaisha hajashika 10,000pato la 130,000litatoka wapi wenzetu wenye uchumi mkubwa na hufanya bima kwa wote ila bado inawasumbua

Kama Mwigulu kama Zungu wametumwa hela na siri ya kambi haipaswi kuvuja.

Bahati mbaya ni kuwa wengi wetu ufahamu wa kuhoji ni kama kina HAYA LAND full kukenua na kudhani wajuzi wao wengine wote wajinga.
 
Mimi ndo nawahudumia hao wazee najua burden yao ikoje

Una maana wewe ni mmoja wa wanufaika wa ile mizigo ya kodi na tozo inayotuelemea sisi tukitakiwa kulipa na kuendelea kulipa tu, bila ya kujali bajeti za serikali kwenye maeneo husika zinasema je au kuwa sisi ni wadau au wawekezaji kwenye vilivyopo?
 
Back
Top Bottom