SoC04 Bima ya Afya kwa kila Mtanzania suluhisho kwa watanzania wanaokosa matibabu sababu ya pesa

SoC04 Bima ya Afya kwa kila Mtanzania suluhisho kwa watanzania wanaokosa matibabu sababu ya pesa

Tanzania Tuitakayo competition threads

Waziri Fadhili

New Member
Joined
May 22, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Ni kwamba hakuna mtanzania asiyejua adha wanayopata watu wa kipato cha chini pale wanapougua magonjwa mbalimbali.

Serekali na Wizara ya Afya waje na sera ya kumpatia kila mtanzania bima ya Afya ili kuondoa adha hii na hii kupiga tadhimini na kujua namna gani fedha zitapatika ili kufanikisha jambo hili.

Kwa sasa kila Mtanzania hakuna asiyemiliki simu, wanaweza kuingiza tozo kwenye vocha ukinunua kwa mwezi unakatwa kiasi fulani na kuangalia vyanzo vingine ili lengo liweze kitimia.

Kwa hili hamna Mtanzania yeyote anaweza kulalamika kwa kweli.
 
Upvote 0
Kwa hili hamna Mtanzania yeyote anaweza kulalamika kwa kweli.
Yupo na sio wachache.

Nataka nikinunua vocha iende kwenye mambo ya mawasiliano na sio afya.

Labda tuangalie namna ya kutoa hizo tozo mfano kwenye bidhaa zinazoathiri afya kama pombe na sigara na vyakula vilivyosindikwa. Au vizuri zaidi. Watu walipie bima kama bima kimakini sio passively
 
Back
Top Bottom