Bima ya Afya kwa Wazee ni Muhimu sana tuwanze wazee wetu

Ghost MVP

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2022
Posts
439
Reaction score
736
Kuna asilimia kubwa ya wazee ambao hawana vyanzo vya pesa wala uwezo wa kujigharamia matibabu, na Hawana msaada kabisa Bima ya kwa wazee izingatiwe.

Serikali ihakikishe hawa wazee wasio na uwezo wanapata matibabu vema, na sio kauli vivuli kwasababu wanahitaj sana hili.

Tuwape upendo wazee wetu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…