MANG'ONYI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2013
- 403
- 342
Mimi nimo ndani ya sekta, siyo naongea kufurahisha, kama hospitali yako haijalipwa ujue una matatizo yako, sema ukweli? Mtu hajakulipa miezi 7 si amekiuka mkataba? Au hujielewi pia.Acha ubishi kama haupo kwenye iyo sekta usipende kubisha kila kitu