Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 697
- 1,358
Afya ni Mtaji kwa Binadamu yoyote madhali Tu huyo Binadamu anapumua
Kwa Nchi zinazoendelea Tanzania ikiwepo BIMA ya Afya kipaumbele kwa Wananchi wote
Kwa Tanzania Wananchi wengi wanaishi kwenye kipato cha chini hiyo pindi Afya inapokuwa mgogoro huna Bima ya Afya inakuwa shida kubwa
Siku za hivi karibuni tumeona baadhi ya watendaji hasa Wizara ya Afya kuwa sio wazalendo na zaidi kutaka kumchonganisha Rais na Wananchi wake
BIMA ya Afya imekuwa gharama na magonjwa au dawa nyingi zimetolewa
Toto Afya vigezo ni vigumu na watoto wengi wemekosa matibabu
Rai yangu kwa MH Rais Samia,Wizara ya Afya ikae na wadau wote kujadili ili Wananchi wote weweze kupata matibabu pasi na kuchelewa
MH Rais Wananchi wakiwa na uhakika na afya zao hasa kupata huduma za matibabu unakuwa umemuondelea adha kubwa Wananchi wako
MH Rais mwakani 2025 kuna Uchaguzi Mkuu hivyo chonde chonde usiingie kwenye mtego huo wa baadhi ya watendaji wenye nio ovu kutaka kukugombanisha na wapiga Kura
Nikuombe MH Rais haraka iwezekanavyo mchakato uanze haraka na Wananchi waweze kupata huduma muhimu kwa ustawi wa Afya zao
Alex Fredrick
+255655308494
Kwa Nchi zinazoendelea Tanzania ikiwepo BIMA ya Afya kipaumbele kwa Wananchi wote
Kwa Tanzania Wananchi wengi wanaishi kwenye kipato cha chini hiyo pindi Afya inapokuwa mgogoro huna Bima ya Afya inakuwa shida kubwa
Siku za hivi karibuni tumeona baadhi ya watendaji hasa Wizara ya Afya kuwa sio wazalendo na zaidi kutaka kumchonganisha Rais na Wananchi wake
BIMA ya Afya imekuwa gharama na magonjwa au dawa nyingi zimetolewa
Toto Afya vigezo ni vigumu na watoto wengi wemekosa matibabu
Rai yangu kwa MH Rais Samia,Wizara ya Afya ikae na wadau wote kujadili ili Wananchi wote weweze kupata matibabu pasi na kuchelewa
MH Rais Wananchi wakiwa na uhakika na afya zao hasa kupata huduma za matibabu unakuwa umemuondelea adha kubwa Wananchi wako
MH Rais mwakani 2025 kuna Uchaguzi Mkuu hivyo chonde chonde usiingie kwenye mtego huo wa baadhi ya watendaji wenye nio ovu kutaka kukugombanisha na wapiga Kura
Nikuombe MH Rais haraka iwezekanavyo mchakato uanze haraka na Wananchi waweze kupata huduma muhimu kwa ustawi wa Afya zao
Alex Fredrick
+255655308494