Bima ya mwezi mmoja

Bima ya mwezi mmoja

Mkuu hayo mambo ya kizamani, sasa hivi ukikatiwa sticker ya bima inaingizwa kwenye mtandao ambo kila mtu aweza kuhakiki.Huna haja ya kupiga simu kwa wakala. Askari anaingiza no ya sticker tu kwwnye mfumo anapata taarifa zote. Sikushauri kufanya mchezo huu kabisa
Kwani ukidakwa ni hatari. Pili kwa kukupa ufahamu sasa hivi unatakiwa ulipe pesa kwenda kampuni ya bima kwanza watakapo thibitisha wamepokea pesa ndio wakala au agents watakupa sticker ya bima. Na hakikisha kwa kutumia simu yako au ingia kwenye tovuti ya www.tira.go tz online portal kwa ajili ya uhakiki kabla ya kuitumia ili kuepuaha matatizo
ushauri wako mzuri Sana mkuu ila tatizo hii nchi ya kitu kidogo haya mambo hatuwezi kuyaacha kutokana Na mfumo uliopo. Binafsi sijawahi kuona traffic police anahakiki bima zaidi ya kuitumbulia macho Tu kuangalia Kama imeexpire au la.
 
Hawa watu wa bima inabidi wawe wabunifu. Mishahara inaingia ya mwezi mwezi lkn wao wanakomaa na bima ya mwaka.

Chief nimecheki na watu wa bima wanasema ipo ya miezi 4 unalipa Tshs 59000 kwa 3rd party na wanadai yapo makampuni yanatoa ya mwezi 1 ila sikupata ni kampuni gani.
 
bima ya mwezi ipo na sio feki....mwezi mmoja kama 30,000 hivi....nimeuliza Alliance na Bumaco
 
Back
Top Bottom