Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Huyu mdudu anayeitwa bima ya taifa NIC ni tapeli anamsumbua mama yangu
alishamaliza kuchangia bado wanamkata
Bima yake imeiva hawataki kumpa hela yake wanamzungusha huu mwezi wa sita
Maofisini walikuja kwa uple kuwaomba kinamama wajiunge kwa unyenyekevu sasa mama yangu anadai chake mnamsumbua
Bima ya taifa mlipeni mama yangu hela yake na kwakweli msije mkaona watu wabaya wakianza kuwafukuza kwenye ofisi zao chanzo ni nyie !!
Mlipeni mama yangu hela yake anadaiwa vikoba kama hamtaki bakini nayo sio shida ila mtaelewa tu!!
alishamaliza kuchangia bado wanamkata
Bima yake imeiva hawataki kumpa hela yake wanamzungusha huu mwezi wa sita
Maofisini walikuja kwa uple kuwaomba kinamama wajiunge kwa unyenyekevu sasa mama yangu anadai chake mnamsumbua
Bima ya taifa mlipeni mama yangu hela yake na kwakweli msije mkaona watu wabaya wakianza kuwafukuza kwenye ofisi zao chanzo ni nyie !!
Mlipeni mama yangu hela yake anadaiwa vikoba kama hamtaki bakini nayo sio shida ila mtaelewa tu!!