Naomba kufahamu iwapo unapokata bima ya trekta na tela linakatiwa bima yake. Au tela halikatiwi bima.
Iwapo linakatiwa bima, ni kiasi/gharama gani kwa mwaka. Bima ya kawaida (third party).
Sent using Jamii Forums mobile app
Iwapo linakatiwa bima, ni kiasi/gharama gani kwa mwaka. Bima ya kawaida (third party).
Sent using Jamii Forums mobile app