FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Yalishawahi kunikuta. Yaani hizi hospitali binafsi wakishagundua tu wewe au mtoto wako ana bima ya afya ya kueleweka, basi wanaanza kumbambikia magonjwa makubwa makubwa ya ajabu ajabu.
Kuna kipindi walimsingizia mwanangu ugonjwa wa kifafa pindi alipopelekwa na mama yake kwenye hospitali moja kubwa binafsi, alipokuja kuniambia moyo ukanilipuka. Nikaingia google na kuanza kusearch zile dalili, haraka sana google ikaniambia ni ‘Febrile seizure’, kucheki google translator ikabiambia maana yake ni ‘dege dege’.
Nilichanganyikiwa, maana walimpa prescription ya dawa za kifafa za kutumia mwaka mzima, bahata nzuri ndio alikuwa ametumia wiki tu.
Nilipowafuata wakajidai kuwa hawamtambui kama aliwahi kuja kutibiwa hapo, nilipowaonyesha risiti za makato ya bima ndio ikabidi waniunganishe na dokta mwingine kunipa ufafanuzi, maana yule alieandika hiyo midawa alikimbia.., eti wananiambia ni makosa ya kibinadamu.., kwamba mama yake hakutoa malezo ya dalili vizuri..
Haya kucheki bima ya mtoto nakuta wamelamba milioni moja na zaidi kwa dawa na vipimo…, yaani nilisikia hasira, ilikuwa niwashtaki kabisa.., sema ndio vile tu.., mitaasisi mikubwa binafsi kama ile huwezi kuwashinda mahakamani, maana watafuta evidence zote za mgonjwa kwenye system zao na kukana kumjua baadae..
Kuna movie nimeiangalia usiku huu Mnet Movies 4 ikanikimbusha hii incident..
Kama unajiweza, usidiriki kutumia bima kwenye mahospitali makubwa binafsi ya kibiashara, labda za serikali.., utasingiziwa magonjwa ya gharama gharama ili wafikisi mifuko ya bima, na hapa mlengwa mkubwa ni NHIF..
Kuna kipindi walimsingizia mwanangu ugonjwa wa kifafa pindi alipopelekwa na mama yake kwenye hospitali moja kubwa binafsi, alipokuja kuniambia moyo ukanilipuka. Nikaingia google na kuanza kusearch zile dalili, haraka sana google ikaniambia ni ‘Febrile seizure’, kucheki google translator ikabiambia maana yake ni ‘dege dege’.
Nilichanganyikiwa, maana walimpa prescription ya dawa za kifafa za kutumia mwaka mzima, bahata nzuri ndio alikuwa ametumia wiki tu.
Nilipowafuata wakajidai kuwa hawamtambui kama aliwahi kuja kutibiwa hapo, nilipowaonyesha risiti za makato ya bima ndio ikabidi waniunganishe na dokta mwingine kunipa ufafanuzi, maana yule alieandika hiyo midawa alikimbia.., eti wananiambia ni makosa ya kibinadamu.., kwamba mama yake hakutoa malezo ya dalili vizuri..
Haya kucheki bima ya mtoto nakuta wamelamba milioni moja na zaidi kwa dawa na vipimo…, yaani nilisikia hasira, ilikuwa niwashtaki kabisa.., sema ndio vile tu.., mitaasisi mikubwa binafsi kama ile huwezi kuwashinda mahakamani, maana watafuta evidence zote za mgonjwa kwenye system zao na kukana kumjua baadae..
Kuna movie nimeiangalia usiku huu Mnet Movies 4 ikanikimbusha hii incident..
Kama unajiweza, usidiriki kutumia bima kwenye mahospitali makubwa binafsi ya kibiashara, labda za serikali.., utasingiziwa magonjwa ya gharama gharama ili wafikisi mifuko ya bima, na hapa mlengwa mkubwa ni NHIF..