Hilo si latest mzee mwenzangu google la mwaka 2003 huko.3-series ipi asee mnafanisha na IST mbona mnatulosea adabu wajerumani ... hizi kama hizi ndio mnaringanisha na IST kweliii
View attachment 2023715View attachment 2023716
'Wannabe' kwa mbwembwe bana πππWhaaaat.. Juu wapi tena..!!!?
Aisee watu wa Toyota na historia..!
Volvo vs Bimmer tena!!
240 nyepesi sana kwa Mjerumani..
Amarok ni gari ngumu huwezi fananisha na mjerumani yeyote. VW ndo wenye gari reliable katika wajeruman woteAsilimia wakandarasi bongo wamekalili mkuu, mie nina mwana field anatumia Land lovel discover 4, mie nilikuwa natumia ki audi sema nimekiua πππ, sasa hivi navuta Mjerumani mwingine ndio wa field wadau kibao wanatumia Amarok, sema bongo tumeishameza mzee mwenzangu, ile meeting ya mwanza nilikuwepo nilipuliza sana maeneo flani πππ
3-series ipi asee mnafanisha na IST mbona mnatulosea adabu wajerumani ... hizi kama hizi ndio mnaringanisha na IST kweliii
View attachment 2023715View attachment 2023716
Maisha hayarudi nyuma, maisha yanasonga mbele .. hatuwezi jivunia vitu vya 2002 wakati kuna vy a2021 πππππ weka za asahiviView attachment 2023814View attachment 2023815
Huku Toyopet huku Bimmer same year 2002!
Wote wana fenicha ndani shida iko wapi? Hebu acheni kumdiss muhuni wa Yokohama.
kwaiyo Amarok sio mjerumani ni mjapani au πππAmarok ni gari ngumu huwezi fananisha na mjerumani yeyote. VW ndo wenye gari reliable katika wajeruman wote
Hahahhahaha za sasahizi tutaweka mwaka 2030 huko π hatuwezi ongelea gari ambazo wanaendesha kina Alhaj hassan mwinyi π wakati sie uwezo wetu ni vyuma chakavu tuMaisha hayarudi nyuma, maisha yanasonga mbele .. hatuwezi jivunia vitu vya 2002 wakati kuna vy a2021 πππππ weka za asahivi
Ndio mjerumani ila anayejielewa kwenye pickup! Gari za lami ukipeleka kule ni kutafta ugonjwa wa moyo tu!kwaiyo Amarok sio mjerumani ni mjapani au πππ
πππ BMW/mercedes/Audi model za 2016 hzifiki hata 100 nchi nzima mzee.Maisha hayarudi nyuma, maisha yanasonga mbele .. hatuwezi jivunia vitu vya 2002 wakati kuna vy a2021 πππππ weka za asahivi
Si unaona hata hii thread tunaijadili BMW iliyozalishwa Kati ya mwaka 1987 mpk 1996 mzee.Maisha hayarudi nyuma, maisha yanasonga mbele .. hatuwezi jivunia vitu vya 2002 wakati kuna vy a2021 πππππ weka za asahivi
acha matusi ππππππ BMW/mercedes/Audi model za 2016 hzifiki hata 100 nchi nzima mzee.
Unashindanisha Amarok na Hilux katika eneo lipi kwanzaNdio mjerumani ila anayejielewa kwenye pickup! Gari za lami ukipeleka kule ni kutafta ugonjwa wa moyo tu!
Sijazungmzia Hilux sababu najua Amarok hatoboi kwa mtoto Revolution toka japani!
Hizo wanazo matajiri 10 tu wa Masakiπ sema juzi nimekutana na Porsche Cayenne ya 2018 nikasema dah!acha matusi πππ
Maeneo ya kishua hizo gari zipo kibao, sema hatuziona kwasababu haziji uswazi πHizo wanazo matajiri 10 tu wa Masakiπ sema juzi nimekutana na Porsche Cayenne ya 2018 nikasema dah!
Wacha Mungu aitwe mungu aisee
Offroad ndio mahali hizo gari zinatakiwa zishindanishwe! Kwa Towwing na offroad Amarok akatafte mandazi na chai!Unashindanisha Amarok na Hilux katika eneo lipi kwanza
why offroad ? huwa mnatafuta vichaka vya kujifichia ππππ hizo Hilux taka taka kwa mnyama amarok.. na kwanini tushindanishw gari yenye engine kubwa na kwa engine ndogo ? Tunaweka zote sawa ndio uweze kupata nani mtabeOffroad ndio mahali hizo gari zinatakiwa zishindanishwe! Kwa Towwing na offroad Amarok akatafte mandazi na chai!
Kwenye kukimbia amarok ndio atamsumbua Hilux tena iwe amarok engine kubwa!
Kwa engine sawa Amarok still ni kibonde, hilo liko wazi! Review ya offroad amarok amechakazwa vibaya ila kwenye drag race ndio amarok aliibuka kidedea.why offroad ? huwa mnatafuta vichaka vya kujifichia ππππ hizo Hilux taka taka kwa mnyama amarok.. na kwanini tushindanishw gari yenye engine kubwa na kwa engine ndogo ? Tunaweka zote sawa ndio uweze kupata nani mtabe
ππ Top gear walishamaliza ubishi khs Hilux.Sijui uimara wa Amarok wenyewe ulipimiwa wapi mzee.why offroad ? huwa mnatafuta vichaka vya kujifichia ππππ hizo Hilux taka taka kwa mnyama amarok.. na kwanini tushindanishw gari yenye engine kubwa na kwa engine ndogo ? Tunaweka zote sawa ndio uweze kupata nani mtabe