Bin kazumari: simba haija audit financial statement tokea mwaka 2018

Bin kazumari: simba haija audit financial statement tokea mwaka 2018

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Simba haijafanya audited financial statements Toka uanze mchakato wa mabadiliko 2018. Ndo maana tunasema mchakato haujakamilika unakuaje na Bodi? Yani unajenga nyumba lakini mpangaji yuko ndani na pesa kalipa, unajenga kwa maekezo yake sio kwa matakwa yako kama mwenye nyumba
 
Simba haijafanya audited financial statements Toka uanze mchakato wa mabadiliko 2018. Ndo maana tunasema mchakato haujakamilika unakuaje na Bodi? Yani unajenga nyumba lakini mpangaji yuko ndani na pesa kalipa, unajenga kwa maekezo yake sio kwa matakwa yako kama mwenye nyumba
Inabidi ibomolewe ama mpangaji atoke kwa kumlipa kodi ya pango aliyotoa je baba mwenye nyumba ana Hela ya kulipa mpangaji, (rudishia mpangaji), ?
 
Simba haijafanya audited financial statements Toka uanze mchakato wa mabadiliko 2018. Ndo maana tunasema mchakato haujakamilika unakuaje na Bodi? Yani unajenga nyumba lakini mpangaji yuko ndani na pesa kalipa, unajenga kwa maekezo yake sio kwa matakwa yako kama mwenye nyumba
Wachambuzi wa bongo wanajua kila kitu,huyu jamaa anajua sheria,uhasibu,Audit then mchambuzi,anatafuta Cheap populality.

Mashabiki lazima mjiulize kabla ya Mo ilikuwaje na baada ya Mo ilikuwaje,hizi kelele zitawapoteza,mkifanya masihala miaka kumi, upingwa na michuano ya CAF,atadominate Yanga akifuatiwa na Azam.

Hizi kelele zikiwatoa kwenye mstari tu mtpotea msimu ujao,hata Confederation mtaishia kuisikia kwenye radio.
 
Wachambuzi wa bongo wanajua kila kitu,huyu jamaa anajua sheria,uhasibu,Audit then mchambuzi,anatafuta Cheap populality.

Mashabiki lazima mjiulize kabla ya Mo ilikuwaje na baada ya Mo ilikuwaje,hizi kelele zitawapoteza,mkifanya masihala miaka kumi, upingwa na michuano ya CAF,atadominate Yanga akifuatiwa na Azam.

Hizi kelele zikiwatoa kwenye mstari tu mtpotea msimu ujao,hata Confederation mtaishia kuisikia kwenye radio.
Ungejadili hoja yake ingependeza kuliko kumjadili yeye.

Je auditing ilifanyika au lah, haikunyika ni kwa nini?.. taratibu zinatakaje?
 
Ungejadili hoja yake ingependeza kuliko kumjadili yeye.

Je auditing ilifanyika au lah, haikunyika ni kwa nini?.. taratibu zinatakaje?
Namjadili yy sababu anavyo vijadiri vipo nje ya professional yake.

Kwani tokea timu yenu ianzishwe ishafanyiwa Audit mara ngapi?
 
Namjadili yy sababu anavyo vijadiri vipo nje ya professional yake.

Kwani tokea timu yenu ianzishwe ishafanyiwa Audit mara ngapi?
Kama unaona ni swa kwa taasisi kama simba au yanga kutokufanyiwa auditing basi unasafari ndefu sana kifikra

Swala sio umefanya au haujafanya mara ngapi bali wewe unaona ni sawa mahesabu ya taasisi inayoingiza mabilion kutokufanyiwa auditing kwenye financial statement yake
 
Kama unaona ni swa kwa taasisi kama simba au yanga kutokufanyiwa auditing basi unasafari ndefu sana kifikra

Swala sio umefanya au haujafanya mara ngapi bali wewe unaona ni sawa mahesabu ya taasisi inayoingiza mabilion kutokufanyiwa auditing kwenye financial statement yake
Sawa OK MO atoke then kafanyeni Audit,muone kama mtaendesha hiyo timu,mnaweza mkakuta hata hela ya kuwalipa KMPG au PWC kwa ajili ya Audit mkakosa.

Sometimes tuwerealistic hizi timu watu wanawekeza sababu ya mapenzi.
Ndio maana niliwauliza hivi kabla ya MO ,ilikuwaje na baada ya MO ipoje?

Tuacheni unafiki hizi timu zote za Kko,kama tukitumia FFP ya UEFA zote zinajiendesha kwa hasara na wote wangefungiwa kusajili,sababu wanacho ingiza na kutumia vitu viwili tifauti.

MO anabeba mzigo wa madeni,sema anaitaka timu ila alio karibu nao wanamkwaisha. Nikuambie kitu kwa mashabiki wa hii timu ninao wajua na kutaniana nao hamna hata mmoja anayetaka MO atoke,hamna anayetaka hiyo Audit report.

Hata auditing zinazo fanyika tuzosikiazo za kisela,ila sio za kiuweledi.Unaweza MO anaitaka sana hiyo Auditing report ila kuna wajanja hawataki ifanyike,ishajiuliza why Babra alikuwa anapigwa vita sana, maana ni mmoja wa viongozi aliyekuwa akifuatilia maswala ya mapato na matumizi na aliwekwa na MO.Unaweza ukakuta MO aliwaacha mjifunze in hardest way na mjua burden anayo ipata ktk kuibeba timu.
 
Sawa OK MO atoke then kafanyeni Audit,muone kama mtaendesha hiyo timu,mnaweza mkakuta hata hela ya kuwalipa KMPG au PWC kwa ajili ya Audit mkakosa.

Sometimes tuwerealistic hizi timu watu wanawekeza sababu ya mapenzi.
Ndio maana niliwauliza hivi kabla ya MO ,ilikuwaje na baada ya MO ipoje?

Tuacheni unafiki hizi timu zote za Kko,kama tukitumia FFP ya UEFA zote zinajiendesha kwa hasara na wote wangefungiwa kusajili,sababu wanacho ingiza na kutumia vitu viwili tifauti.

MO anabeba mzigo wa madeni,sema anaitaka timu ila alio karibu nao wanamkwaisha. Nikuambie kitu kwa mashabiki wa hii timu ninao wajua na kutaniana nao hamna hata mmoja anayetaka MO atoke,hamna anayetaka hiyo Audit report.

Hata auditing zinazo fanyika tuzosikiazo za kisela,ila sio za kiuweledi.Unaweza MO anaitaka sana hiyo Auditing report ila kuna wajanja hawataki ifanyike,ishajiuliza why Babra alikuwa anapigwa vita sana, maana ni mmoja wa viongozi aliyekuwa akifuatilia maswala ya mapato na matumizi na aliwekwa na MO.Unaweza ukakuta MO aliwaacha mjifunze in hardest way na mjua burden anayo ipata ktk kuibeba timu.
Mkuu embu pumzika ulale.
 
Sawa OK MO atoke then kafanyeni Audit,muone kama mtaendesha hiyo timu,mnaweza mkakuta hata hela ya kuwalipa KMPG au PWC kwa ajili ya Audit mkakosa.

Sometimes tuwerealistic hizi timu watu wanawekeza sababu ya mapenzi.
Ndio maana niliwauliza hivi kabla ya MO ,ilikuwaje na baada ya MO ipoje?

Tuacheni unafiki hizi timu zote za Kko,kama tukitumia FFP ya UEFA zote zinajiendesha kwa hasara na wote wangefungiwa kusajili,sababu wanacho ingiza na kutumia vitu viwili tifauti.

MO anabeba mzigo wa madeni,sema anaitaka timu ila alio karibu nao wanamkwaisha. Nikuambie kitu kwa mashabiki wa hii timu ninao wajua na kutaniana nao hamna hata mmoja anayetaka MO atoke,hamna anayetaka hiyo Audit report.

Hata auditing zinazo fanyika tuzosikiazo za kisela,ila sio za kiuweledi.Unaweza MO anaitaka sana hiyo Auditing report ila kuna wajanja hawataki ifanyike,ishajiuliza why Babra alikuwa anapigwa vita sana, maana ni mmoja wa viongozi aliyekuwa akifuatilia maswala ya mapato na matumizi na aliwekwa na MO.Unaweza ukakuta MO aliwaacha mjifunze in hardest way na mjua burden anayo ipata ktk kuibeba timu.
Kwani auditing ni lazima wafanye kpmg au pwc ndo maana nikasema uko mbali sana kifikra
Club kama taasisi haiwezi endeshwa kihuni bila utaratibu
 
Kwani auditing ni lazima wafanye kpmg au pwc ndo maana nikasema uko mbali sana kifikra
Club kama taasisi haiwezi endeshwa kihuni bila utaratibu
Kuna sehemu nimelazimisha na kusema wafanye KPMG au PWC ? Nimetoa mifano ya auditing Firm,OK una ripoti yoyote ya Audit iliyofanya na kampuni yoyote ya ukaguzi wa fedha kabla MO hajaichukua timu.

Nimekuuliza kabla ya MO club ilikuwa inaendeshwa vipi,hizo Audit za fedha alikuwa anafanya nani?
 
Kuna sehemu nimelazimisha na kusema wafanye KPMG au PWC ? Nimetoa mifano ya auditing Firm,OK una ripoti yoyote ya Audit iliyofanya na kampuni yoyote ya ukaguzi wa fedha kabla MO hajaichukua timu.

Nimekuuliza kabla ya MO club ilikuwa inaendeshwa vipi,hizo Audit za fedha alikuwa anafanya nani?
Hawawezi kukujibu
 
Back
Top Bottom