Bin kazumari: simba haija audit financial statement tokea mwaka 2018

Bin kazumari: simba haija audit financial statement tokea mwaka 2018

Kuna sehemu nimelazimisha na kusema wafanye KPMG au PWC ? Nimetoa mifano ya auditing Firm,OK una ripoti yoyote ya Audit iliyofanya na kampuni yoyote ya ukaguzi wa fedha kabla MO hajaichukua timu.

Nimekuuliza kabla ya MO club ilikuwa inaendeshwa vipi,hizo Audit za fedha alikuwa anafanya nani?
Timu hizi zimeendeshwa kihuni kwa miaka zaidi ya 80 ndo maana ziko kama zilivyo mabadiliko yamekuja hautaki unataka ziendelee kuendeshwa kihuni ndo maana nikakuambia uko mbali sana kifikra
 
Timu hizi zimeendeshwa kihuni kwa miaka zaidi ya 80 ndo maana ziko kama zilivyo mabadiliko yamekuja hautaki unataka ziendelee kuendeshwa kihuni ndo maana nikakuambia uko mbali sana kifikra
Nimekuuliza kabla ya MO timu ilikuwa inajiendesha vip hujanijibu? Auditing ripoti kabla ya MO hujanijibu?

OK nani kaleta mabadiliko........ kwenye timu yenu? Nina uhakika MO yupo tayari kwa ajili ya hiyo Auditing kufanyika, vip viongozi wengine wapo tayari?

Hizi timu za Kkoo zina mambo mengi zaidi ufikiriavyo, hivi unajua kwenye timu yenu kuna muhuni ambaye aligombana na Babra, mkitoa jezi na yy anagonga kopy ya jezi mlizo toa Kontena zima na anapower ya maamuzi ndani ya hiyo timu.

Hizi timu na Yanga zipo deep mno,zina wahuni wengi kula yao inategemea hizo timu.
 
Kuna sehemu nimelazimisha na kusema wafanye KPMG au PWC ? Nimetoa mifano ya auditing Firm,OK una ripoti yoyote ya Audit iliyofanya na kampuni yoyote ya ukaguzi wa fedha kabla MO hajaichukua timu.

Nimekuuliza kabla ya MO club ilikuwa inaendeshwa vipi,hizo Audit za fedha alikuwa anafanya nani?
Simba ni taasisi imesajiliwa Rita kisheria inatakiwa ipeleke hesabu zilizokaguliwa Rita.
Hakuna utetezi wowote kwanini hesabu zao hazikaguliwi.
 
Simba ni taasisi imesajiliwa Rita kisheria inatakiwa ipeleke hesabu zilizokaguliwa Rita.
Hakuna utetezi wowote kwanini hesabu zao hazikaguliwi.
Hebu futa komenti yako unajidhalilisha,kasome tena kazi ya hiyo taasisi,uliyo itaja.

Tena future haraka kabla watu hawajaiona hiii komenti yako.
 
Hebu futa komenti yako unajidhalilisha,kasome tena kazi ya hiyo taasisi,uliyo itaja.

Tena future haraka kabla watu hawajaiona hiii komenti yako.
Wewe ndio kasome hivi hujui Rita ndio waliwaambia Simba wakarekebishe katiba, hayo mamlaka walipata wapi. Unajua baraza la wadhamini linasajiliwa wapi na Nini kazi yake.
 
Back
Top Bottom