wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
ndege iliobeba wachezaji wa yanga sio walivyochelewa eti kwa sababu ya malipo.ndege asubuhi ilienda dom ikaridi saa 3 na inapaki uwanja wa zamani ifanyiwe cheking ije ipaki uwanja mpya wale wafanyakazi wa ndege sio wamiliki wa hiyo ndege kuna ofisi maalum usitake kuchonganisha serikali na wananchi kwa lengo eti inawadharirisha yanga angalia blog yako sio kuwafurahisha upande mwingine