Mr Mikazo
JF-Expert Member
- May 26, 2016
- 1,594
- 800
"Tatizo Simba mnamtegemea sana Mavugo, alishindwa kufunga huyo ndio basi tena, mpira haupo hivyo"
ONE MONTH LATER
"Simba pale ukimbana vizuri Tshabalala umekwisha, magoli yote anatengeneza yeye hakuna tena, ni kikosi kile kile tu cha kutegemea wachezaji wawili, bado sana"
EARLIER THIS MONTH
"Simba tatizo lao kila kitu Kichuya, siku akiumia yule na mpira ndio umekwisha maana ndio anatengeneza na kipika magoli, ndio mhimili wa timu bado mna safari ndefu sana"
YESTERDAY
"Mnaingia mnamtegemea Mzamiru, mchezaji haeleweki yule lazima mle goli, mechi za ugenini hamna ubavu wa kushinda, huyo Mzamiru atakutana na beki wenye njaa atatulizwa"
TODAY
"Mnaona sasa mnavyotegemea mchezaji mmoja? MO Ibrahim jana kawabeba sana, yaani bila yeye sijui mngetokaje.. Chezeni kama timu sio kutegemea mtu mmoja"
NEXT WEEKEND
"mmekutana na timu vibonde, hao Stand wameshajichokea Mwadui hawana kocha, wala msione kama mmefanya kitu kikubwa, subiri mzunguko wa pili ndio mtakiona cha moto na kutegemea mchezaji mmoja kitawaumiza"
HITIMISHO.
Tumesajili wachezaji ili tuwategemee, UNATAKA TUMTEGEMEE BABAAKO? Tunataka tutegemee kila mchezaji mwaka huu, ipo siku mtasema bila Angban Simba si lolote si chochote, endeleeni kuwahesabu mmoja baada ya mwingine
ONE MONTH LATER
"Simba pale ukimbana vizuri Tshabalala umekwisha, magoli yote anatengeneza yeye hakuna tena, ni kikosi kile kile tu cha kutegemea wachezaji wawili, bado sana"
EARLIER THIS MONTH
"Simba tatizo lao kila kitu Kichuya, siku akiumia yule na mpira ndio umekwisha maana ndio anatengeneza na kipika magoli, ndio mhimili wa timu bado mna safari ndefu sana"
YESTERDAY
"Mnaingia mnamtegemea Mzamiru, mchezaji haeleweki yule lazima mle goli, mechi za ugenini hamna ubavu wa kushinda, huyo Mzamiru atakutana na beki wenye njaa atatulizwa"
TODAY
"Mnaona sasa mnavyotegemea mchezaji mmoja? MO Ibrahim jana kawabeba sana, yaani bila yeye sijui mngetokaje.. Chezeni kama timu sio kutegemea mtu mmoja"
NEXT WEEKEND
"mmekutana na timu vibonde, hao Stand wameshajichokea Mwadui hawana kocha, wala msione kama mmefanya kitu kikubwa, subiri mzunguko wa pili ndio mtakiona cha moto na kutegemea mchezaji mmoja kitawaumiza"
HITIMISHO.
Tumesajili wachezaji ili tuwategemee, UNATAKA TUMTEGEMEE BABAAKO? Tunataka tutegemee kila mchezaji mwaka huu, ipo siku mtasema bila Angban Simba si lolote si chochote, endeleeni kuwahesabu mmoja baada ya mwingine