Binadamu anaweza kutibu ugonjwa wa kuzeeka?

Wale haki na ukwa wa kwenye movi za nigeria [sijajua majina yao ila wapo hata kwenye wimbo wa kamilion ifugallo] mnawazungumziaje mana nilisikia mwaka 2010 mmoja ana 45 mwingn 38 lakn ukiwaangalia utazan wana 16 tungewauliza kwanza wao wanatumia nini uhenda tungepata jibu
 
Naamini kwa miaka 1000 ijayo kwa kasi ya teknolojia inavyokwenda uzee na kifo vitadhibitiwa.
Hizo ni ndoto.kufa kuliwekwa na yule aliyeiweka dunia.Hakuna kiumbe ambacho kitaweza kugeuza uumbaji wake ata ipite miaka mingapi.
 
Naamini kwa miaka 1000 ijayo kwa kasi ya teknolojia inavyokwenda uzee na kifo vitadhibitiwa.
Kiukweli kifo ni jambo linaloweza kudhibitiwa kbsa kwasbb hata kwenye vitabu vya dini kuna maandiko ya uzima wa milele. Hivyo tusitegemee huo uzima wa milele utaletwa na na kushushwa na Mungu kama mvua ila kitakachofanyika ni kumtumia binadamu kuuleta huo uzima wa milele kwasbb God ni nishat hawezi kuonekana wala kushikika hivyo uzima wa milele utaletwa na wanadamu wenyewe kupitia nguvu zake Mungu nadhani nimeeleweka
 
Hizo ni ndoto.kufa kuliwekwa na yule aliyeiweka dunia.Hakuna kiumbe ambacho kitaweza kugeuza uumbaji wake ata ipite miaka mingapi.
Hata wagunduzi wa ndege 🛫 walipoleta wazo la chombo kuweza kuruka angani ilionekana ndoto isiyowezekana.

Elon musk kwa sasa anajaribu kufanya majaribio ya Neuralink kwa binadamu na trust me itawezekana.
 
Oprah Winfrey hazeeki pia Dolly Parton kajifunze kwao...pia baadhi ya wa Japan
 
Mbuzi naona umeongea takataka kama posti zako nyinyi humu
Yaani umeeongea kama unajadili stori za kijiweni bila hypothesis wala postulation
Basi tu umeamua na mimi nichangie
it is better to remain silent and be thought a fool than to talk and remove all doubt.”
 
Oprah Winfrey hazeeki pia Dolly Parton kajifunze kwao...pia baadhi ya wa Japan
Uzee ni kuanzia miaka 50?, nadhan tusiangalie muonekano. Kikubwa ukifikisha hiyo miaka wewe unahesabika mzee.
Hata uwe na sura ya kitoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…