Binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?

Binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Hivi binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?

Au umoja wa aina hii na maombi ya aina hii ndio kutungeneza mnara wa Babeli? Tutatwanywa kwa kuvurugwa na lugha gongana?
 
Screenshot_20240322-225613_1.jpg
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Kuomba huyo Mungu ni kupoteza muda.

Wastage of time.

Hakuna Mungu aliyewahi kusaidia kitu chochote kile.

Ndio maana kuna maelfu ya watu hasa watoto wadogo na Wanawake wasio na hatia yeyote ile wamekufa, wanakufa na wanaendelea kufa kila kukicha.

Licha ya kusali, kufunga, kumuomba na kumlilia sana huyo Mungu awaepushe na magonjwa, njaa, vita, majanga ya asili. Lakini hakuna kinacho tokea wanakufa na wanazidi kufa.
 
Lazima kupita kwenye kipindi hiki (kifo) mpaka kifo na mauti vitakapoangamizwa na kuja ulimwengu mpya chini ya Bwana Yesu kristo. Kwenye mbingu hiyo hakutakuwepo kilio wala mateso yoyote kwa sababu vyote hivyo vitaangamizwa milele. Lakini sharti la kuingia kwenye mbingu hiyo ni lazima kujikana nafsi na kuachana na dhambi zote katika mazingira yanayolizunguka.
 
View attachment 3146130Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Kuomba huyo Mungu ni kupoteza muda.

Wastage of time.

Hakuna Mungu aliyewahi kusaidia kitu chochote kile.

Ndio maana kuna maelfu ya watu hasa watoto wadogo na Wanawake wasio na hatia yeyote ile wamekufa, wanakufa na wanaendelea kufa kila kukicha.

Licha ya kusali, kufunga, kumuomba na kumlilia sana huyo Mungu awaepushe na magonjwa, njaa, vita, majanga ya asili. Lakini hakuna kinacho tokea wanakufa na wanazidi kufa.
Huyu mama nguo yake ina damu?
 
John 11:25-26 AMP
[25] Jesus said to her, “I am the Resurrection and the Life. Whoever believes in (adheres to, trusts in, relies on) Me [as Savior] will live even if he dies; [26] and everyone who lives and believes in Me [as Savior] will never die. Do you believe this?”
 
Yn 11:25-26 SUV
[25] Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; [26] naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?
 
Hivi binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?

Au umoja wa aina hii na maombi ya aina hii ndio kutungeneza mnara wa Babeli? Tutatwanywa kwa kuvurugwa na lugha gongana?
Mumuombe kupitia kwa hawa akina Mwamposa,Kakobe na TB Josua???aisee ukweli Dunia imechafukwa watu wanamfata sheta sasa hivi kuliko Mungu wao
 
Hivi binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?

Au umoja wa aina hii na maombi ya aina hii ndio kutungeneza mnara wa Babeli? Tutatwanywa kwa kuvurugwa na lugha gongana?
Kuna washenzi hapo katikati hawatakubali, wanaamini katika kufa kwa mabomu ya kujilipua
 
View attachment 3146130Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Kuomba huyo Mungu ni kupoteza muda.

Wastage of time.

Hakuna Mungu aliyewahi kusaidia kitu chochote kile.

Ndio maana kuna maelfu ya watu hasa watoto wadogo na Wanawake wasio na hatia yeyote ile wamekufa, wanakufa na wanaendelea kufa kila kukicha.

Licha ya kusali, kufunga, kumuomba na kumlilia sana huyo Mungu awaepushe na magonjwa, njaa, vita, majanga ya asili. Lakini hakuna kinacho tokea wanakufa na wanazidi kufa.
Mwingine mfuasi wa akina Mwamposa baada yakukesha anapiga kelele atimaye kaja na kufuru kwamba Mungu hayupo!!kweli!! Sijui kajiumba na kujipa pumzi??
 
View attachment 3146130Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Kuomba huyo Mungu ni kupoteza muda.

Wastage of time.

Hakuna Mungu aliyewahi kusaidia kitu chochote kile.

Ndio maana kuna maelfu ya watu hasa watoto wadogo na Wanawake wasio na hatia yeyote ile wamekufa, wanakufa na wanaendelea kufa kila kukicha.

Licha ya kusali, kufunga, kumuomba na kumlilia sana huyo Mungu awaepushe na magonjwa, njaa, vita, majanga ya asili. Lakini hakuna kinacho tokea wanakufa na wanazidi kufa.
Leta evidence kwamba Mungu hayupo
 
Back
Top Bottom