Binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?

Binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?

Sibishanagi na wajinga
Huna hoja ndio maana huwezi kujenga hoja.

Ulicho nacho kwenye akili yako ni hizo imani zako uchwara za kijinga ulizo pumbazwa, kukaririshwa na kuaminishwa na dini yako na imani zako.

Ujinga ni kuamini kufa kuna faida, Halafu kufa hutaki na una ogopa kifo.
kwenye masuala ya dini mpendwa tafuta wapenda ligi.
Hukatazwi kuwa na dini yako.

Ila ukileta hiyo dini yako hapa Jamii forums, Lazima tuichambue na kuikosoa kujua kama ina ukweli au Lah!

Vinginevyo baki na hiyo dini yako au huyo Mungu wako moyoni mwako.

Usimwongelee kabisa hapa kwenye Open forum JF.
Kila mtu anajua anachokiamini na kukiabudu.
Hukatazwi kuamini au kuabudu unacho kiamini na kukiabudu.

Ila ukianza kudai kwamba hicho unacho kiamini na kukiabudu kina UKWELI, Lazima uthibitishe kwa uthibitisho na ushahidi usio na shaka.

Otherwise, kuamini na kuabudu Unaweza kuamini hata uongo.
Ila tu usidai kwamba ni ukweli bila uthibitisho.
 
View attachment 3146130Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Kuomba huyo Mungu ni kupoteza muda.

Wastage of time.

Hakuna Mungu aliyewahi kusaidia kitu chochote kile.

Ndio maana kuna maelfu ya watu hasa watoto wadogo na Wanawake wasio na hatia yeyote ile wamekufa, wanakufa na wanaendelea kufa kila kukicha.

Licha ya kusali, kufunga, kumuomba na kumlilia sana huyo Mungu awaepushe na magonjwa, njaa, vita, majanga ya asili. Lakini hakuna kinacho tokea wanakufa na wanazidi kufa.
hiki ni kiburi cha uzima

ni sawa na kubishi hewa haipo kwa kuwa ujawahi iona na kuigusa

Mungu yupo, yaani ni sawa na kuliona gari lenye mpangilio sawia na linatembea ubishi kwamba hakuna aliye litengeneza
 
hiki ni kiburi cha uzima
Maelfu ya waamini Mungu wamekufa na wanaendelea kufa.

Hata wewe lazima ufe licha ya kwamba unamwamini huyo Mungu.

Hakuna Mungu anayetoa uzima.
ni sawa na kubishi hewa haipo kwa kuwa ujawahi iona na kuigusa
Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika na kuhisika.

Hewa ipo, inahisika ipo, unaivuta na kujua hewa ipo.

Mungu Hayupo kwa namna yoyote ile. Haonekani, Hashikiki, Hasikiki na wala haisiki kwa vyovyote vile.

Mungu mmemtunga vichwani mwenu ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.

Mungu ni dhana ya kufikirika tu, Mungu hayupo katika uhalisia bali katika dhana za kufikirika tu.

Imaginations just an illusion.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
Mungu yupo, yaani ni sawa na kuliona gari lenye mpangilio sawia na linatembea ubishi kwamba hakuna aliye litengeneza
Unahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa sababu hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe, kujitetea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe, yeye kama yeye kwamba yupo.

You are just trying to defend a fictional character.

Huyo Mungu kama yupo ajitokeze mwenyewe, ajiongelee mwenyewe, ajidhihirishe mwenyewe na kujitetea mwenyewe kama ana huo uwezo.
 
Hivi binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?

Au umoja wa aina hii na maombi ya aina hii ndio kutungeneza mnara wa Babeli? Tutatwanywa kwa kuvurugwa na lugha gongana?
Kabla haujafikilia kufutwa kwa kifo naomba ujiulize kati ya duniani na mbinguni kupi bora.

Ukitokea mbinguni kuna hari nzuri kuliko duniani je kunahaja yakung'ang'ania duniani tena.?
 
Hivi binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?

Au umoja wa aina hii na maombi ya aina hii ndio kutungeneza mnara wa Babeli? Tutatwanywa kwa kuvurugwa na lugha gongana?
Kufa ni sehemu ya uhai. Uhai umeumbwa uishi, bali hapa duniani uhai una mwisho kwa sababu maumbile ya mwili ni yana mwisho bali maumbile ya roho hayana mwisho wa hapa duniani ila roho inaweza kuishi millele.
Hivi binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?

Au umoja wa aina hii na maombi ya aina hii ndio kutungeneza mnara wa Babeli? Tutatwanywa kwa kuvurugwa na lugha gongana?
 
View attachment 3146130Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Kuomba huyo Mungu ni kupoteza muda.

Wastage of time.

Hakuna Mungu aliyewahi kusaidia kitu chochote kile.

Ndio maana kuna maelfu ya watu hasa watoto wadogo na Wanawake wasio na hatia yeyote ile wamekufa, wanakufa na wanaendelea kufa kila kukicha.

Licha ya kusali, kufunga, kumuomba na kumlilia sana huyo Mungu awaepushe na magonjwa, njaa, vita, majanga ya asili. Lakini hakuna kinacho tokea wanakufa na wanazidi kufa.
Hujasikia jinsi Mungu alivyomsaidia Trump kushinda uchaguzi wa Urais wa Marekani licha ya mfumo kujitahidi kutafuta kumkwamisha?

Hujasikia jinsi Mungu alivyowafunulia watumishi wake kuwa Trump ndiye rais wa 47 wa Marekani, tena siku nyingi kabla ya siku za uchaguzi?

Hukusikia jinsi Mungu alivyowajulisha watumishi Wake jinsi Trump angepitia misukosuko ichochewayo na Shetani na jinsi ambavyo angemsaidia, na ikawa hivyo?

Kwa kuwa wewe ni critical thinker, hebu ingia mtandaoni ujionee mwenyewe hizo taarifa kisha ufanye maamuzi vile uonavyo sawa.
 
".....na hamtomuona mola wenu mpaka mfikwe na umauti.."hadith


Binafsi natamani kumuona aliyenichagua kuwa hivi nilivyo, aliyenichagulia familia yangu, ukoo wangu na mazuri mengi nisiyoweza kuyahesabu, natamani na nina shauku kubwa sana kukutana nae na hilo haliwezi kutokea mpaka nife, siku ikifika namuomba anipe mwisho uliokuwa mwema.

Mejasoko
Allahumma Aameen
 
Hujasikia jinsi Mungu alivyomsaidia Trump kushinda uchaguzi wa Urais wa Marekani licha ya mfumo kujitahidi kutafuta kumkwamisha?
Logical non sequitur. Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.

Hakuna Mungu aliyemsaidia Trump kushinda uchaguzi. Kilicho msaidia Trump kushinda uchaguzi ni sera zake na kura za wamarekani.

Hakuna Mungu hapo. Mungu ni dhana uchwara tu, Ya kufikirika.
Hujasikia jinsi Mungu alivyowafunulia watumishi wake kuwa Trump ndiye rais wa 47 wa Marekani, tena siku nyingi kabla ya siku za uchaguzi?
Huyo Mungu aliwafunulia watumishi wake kwamba, Trump ndiye Raisi wa 47 wa Marekani lini?

Siku ipi? Tarehe ipi? Mwezi upi? Mwaka upi?

Na muda gani exactly?

Au unatunga hadithi zako uchwara zisizo na mantiki!
Hukusikia jinsi Mungu alivyowajulisha watumishi Wake jinsi Trump angepitia misukosuko ichochewayo na Shetani na jinsi ambavyo angemsaidia, na ikawa hivyo?
Huyo Mungu aliwajulisha watumishi wake lini?

Leta uthibitisho hapa.
Kwa kuwa wewe ni critical thinker, hebu ingia mtandaoni ujionee mwenyewe hizo taarifa kisha ufanye maamuzi vile uonavyo sawa.
Hakuna Mungu aliyemsaidia Trump kushinda uchaguzi wa Marekani.

Hata kama Trump mwenyewe atasema amesaidiwa na Mungu kushinda, Bado hiyo itakuwa ni Imani na mtazamo wake tu usio na uthibitisho wowote ule.

Trump kashinda uchaguzi kutokana na sera zake na kura za raia wamarekani.
 
Hivi binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?

Au umoja wa aina hii na maombi ya aina hii ndio kutungeneza mnara wa Babeli? Tutatwanywa kwa kuvurugwa na lugha gongana?
Achana na nadharia haiwezekani
 
Back
Top Bottom