Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Muonyeshe mungu mbona jambo jepesi usimuite mjinga ila muonyeshe huyo mungu Ili uthibitisho ujinga wake kwetuSibishanagi na wajinga kwenye masuala ya dini mpendwa tafuta wapenda ligi.
Kila mtu anajua anachokiamini na kukiabudu.
Huna hoja ndio maana huwezi kujenga hoja.Sibishanagi na wajinga
Hukatazwi kuwa na dini yako.kwenye masuala ya dini mpendwa tafuta wapenda ligi.
Hukatazwi kuamini au kuabudu unacho kiamini na kukiabudu.Kila mtu anajua anachokiamini na kukiabudu.
Huyo Mungu anatafutwa kwani amepotea?Ngoja yakukute utamtafuta mwenyewe
Nincompoop.We ni zero brain,
hiki ni kiburi cha uzimaView attachment 3146130Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
Kuomba huyo Mungu ni kupoteza muda.
Wastage of time.
Hakuna Mungu aliyewahi kusaidia kitu chochote kile.
Ndio maana kuna maelfu ya watu hasa watoto wadogo na Wanawake wasio na hatia yeyote ile wamekufa, wanakufa na wanaendelea kufa kila kukicha.
Licha ya kusali, kufunga, kumuomba na kumlilia sana huyo Mungu awaepushe na magonjwa, njaa, vita, majanga ya asili. Lakini hakuna kinacho tokea wanakufa na wanazidi kufa.
Maelfu ya waamini Mungu wamekufa na wanaendelea kufa.hiki ni kiburi cha uzima
Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika na kuhisika.ni sawa na kubishi hewa haipo kwa kuwa ujawahi iona na kuigusa
Unahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa sababu hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe, kujitetea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe, yeye kama yeye kwamba yupo.Mungu yupo, yaani ni sawa na kuliona gari lenye mpangilio sawia na linatembea ubishi kwamba hakuna aliye litengeneza
Kabla haujafikilia kufutwa kwa kifo naomba ujiulize kati ya duniani na mbinguni kupi bora.Hivi binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?
Au umoja wa aina hii na maombi ya aina hii ndio kutungeneza mnara wa Babeli? Tutatwanywa kwa kuvurugwa na lugha gongana?
Kufa ni sehemu ya uhai. Uhai umeumbwa uishi, bali hapa duniani uhai una mwisho kwa sababu maumbile ya mwili ni yana mwisho bali maumbile ya roho hayana mwisho wa hapa duniani ila roho inaweza kuishi millele.Hivi binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?
Au umoja wa aina hii na maombi ya aina hii ndio kutungeneza mnara wa Babeli? Tutatwanywa kwa kuvurugwa na lugha gongana?
Hivi binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?
Au umoja wa aina hii na maombi ya aina hii ndio kutungeneza mnara wa Babeli? Tutatwanywa kwa kuvurugwa na lugha gongana?
Hujasikia jinsi Mungu alivyomsaidia Trump kushinda uchaguzi wa Urais wa Marekani licha ya mfumo kujitahidi kutafuta kumkwamisha?View attachment 3146130Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
Kuomba huyo Mungu ni kupoteza muda.
Wastage of time.
Hakuna Mungu aliyewahi kusaidia kitu chochote kile.
Ndio maana kuna maelfu ya watu hasa watoto wadogo na Wanawake wasio na hatia yeyote ile wamekufa, wanakufa na wanaendelea kufa kila kukicha.
Licha ya kusali, kufunga, kumuomba na kumlilia sana huyo Mungu awaepushe na magonjwa, njaa, vita, majanga ya asili. Lakini hakuna kinacho tokea wanakufa na wanazidi kufa.
Allahumma Aameen".....na hamtomuona mola wenu mpaka mfikwe na umauti.."hadith
Binafsi natamani kumuona aliyenichagua kuwa hivi nilivyo, aliyenichagulia familia yangu, ukoo wangu na mazuri mengi nisiyoweza kuyahesabu, natamani na nina shauku kubwa sana kukutana nae na hilo haliwezi kutokea mpaka nife, siku ikifika namuomba anipe mwisho uliokuwa mwema.
Mejasoko
Logical non sequitur. Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.Hujasikia jinsi Mungu alivyomsaidia Trump kushinda uchaguzi wa Urais wa Marekani licha ya mfumo kujitahidi kutafuta kumkwamisha?
Huyo Mungu aliwafunulia watumishi wake kwamba, Trump ndiye Raisi wa 47 wa Marekani lini?Hujasikia jinsi Mungu alivyowafunulia watumishi wake kuwa Trump ndiye rais wa 47 wa Marekani, tena siku nyingi kabla ya siku za uchaguzi?
Huyo Mungu aliwajulisha watumishi wake lini?Hukusikia jinsi Mungu alivyowajulisha watumishi Wake jinsi Trump angepitia misukosuko ichochewayo na Shetani na jinsi ambavyo angemsaidia, na ikawa hivyo?
Hakuna Mungu aliyemsaidia Trump kushinda uchaguzi wa Marekani.Kwa kuwa wewe ni critical thinker, hebu ingia mtandaoni ujionee mwenyewe hizo taarifa kisha ufanye maamuzi vile uonavyo sawa.
Achana na nadharia haiwezekaniHivi binadamu hatuwezi kuungana kumuomba kwa dhati Mungu afute kifo, magonjwa na mauti au ndio tutakua tunaingilia mapenzi yake?
Au umoja wa aina hii na maombi ya aina hii ndio kutungeneza mnara wa Babeli? Tutatwanywa kwa kuvurugwa na lugha gongana?