johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naona kwa sasa kila mtu " tegemezi" anajiita Chawa wa fulani
Kwa mfano nimetoka pale Chato nimewakuta Chawa wa Mbunge na ni cheo rasmi mtu anajitambulisha
Nimeshangaa Sana kwa sababu Chawa ni miongoni mwa Wadudu Wachafu kabisa
Zamani tukimuona Muhindi jambo la kwanza ni kuangalia Mayai ya Chawa kwenye nywele zake za kichwani 😂😂
Mlale Unono 😃
Kwa mfano nimetoka pale Chato nimewakuta Chawa wa Mbunge na ni cheo rasmi mtu anajitambulisha
Nimeshangaa Sana kwa sababu Chawa ni miongoni mwa Wadudu Wachafu kabisa
Zamani tukimuona Muhindi jambo la kwanza ni kuangalia Mayai ya Chawa kwenye nywele zake za kichwani 😂😂
Mlale Unono 😃