Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitabu kinaitwa "Goal diggers guide, how to get what you want from men without giving it up "- kimeandika na Baje Fletcher utakipata kwenye web ya docroidKinaitwaje hicho kitabu mkuu?nitafutie hata link tafadhali....Hapana TUNAWAPENDA
Asante...Hapana ,upendo ninao ila vitabu vinaongeza knowledge mdogo wanguKitabu kinaitwa "Goal diggers guide, how to get what you want from men without giving it up "- kimeandika na Baje Fletcher utakipata kwenye web ya docroid
NB:ungekuwa na upendo usingeulizia kitabu cha jinsi ya kutapeli pesa za wanaume Joannah
=Mimi sina kelele hata kidogoUne nga nu njwegho na kanini...
Hata mimi nitakupa real Love kama yotee mpaka nyingine itamwagika😍Jogoo ana real love😃
Na mkishazalishwa msidai matunzo Basi mpambane mleee watoto wenu Kama matetea[emoji16]Mimi Ni tetea.....kujiuza kupo tangu dunia ya kale we unamjua Rahabu wewe?
[emoji38][emoji38]Msiige mfano huo[emoji16]
Mwanamke wewe kwa fix😃, nimeingia PM mara mbili mbili sioni kituWaoooh!Anza madaha ya jogoo nimekutumia namba yangu PM
Ulijaribu kufatilia majukumu anayotekeleza tetea mpaka anahudumiwa ivoJamani ndiyo tunamalizia wikiendi natumai mko poa.
Basi wikiendi ilivyoanza nikaona ni busara kwenda mtembelea bibi huko kijijini kwake Mwanzo Mgumu, nikapokelewa kwa kishindo. Basi bwana, bibi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nilipokuwa napumzika chini ya mwembe nikagundua jambo la kipekee kuhusu jogoo.
Jogoo akiona chakula kiwe kikubwa au kidogo hali hicho chakula, bali anamwita tetea kwa madaha aje ale halafu yeye anasindikizia sindikizia kishkaji. Sasa nyie binadamu mnakwama wapi kuiga mfano? Mmekuwa walalamishi, kila siku humu nyuzi mpya za kulalamika, hamtaki kulisha matetea wenu, mara muwaite ombaomba, mara sijui nini.
Wajameni igeni mfano bora wa jogoo jamani, halafu hana hata kisasi pamoja na tetea kula mwamba ye kidogo tu[emoji106], binadamu sasa!
Jioni njema jamani.
Kwel mkuu kuna mtandao unaitwa TAGGED ni balaa huko , wadada wanajiuza sio poaWewe ni kuku?
Wadada omba omba wamezidi.
Halafu siku hizi wanawake wote wanajiuza.
Joannah yule ndio huyu au huyu ndio yule..? Mnatuchanganya..!🙄🙄🙄🙄Huo mtihani mpya...tafadhali tuige mema ya jogoo mabaya tumuachie mwenyewe
Sawa tetea JoannahJamani ndiyo tunamalizia wikiendi natumai mko poa.
Basi wikiendi ilivyoanza nikaona ni busara kwenda mtembelea bibi huko kijijini kwake Mwanzo Mgumu, nikapokelewa kwa kishindo. Basi bwana, bibi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nilipokuwa napumzika chini ya mwembe nikagundua jambo la kipekee kuhusu jogoo.
Jogoo akiona chakula kiwe kikubwa au kidogo hali hicho chakula, bali anamwita tetea kwa madaha aje ale halafu yeye anasindikizia sindikizia kishkaji. Sasa nyie binadamu mnakwama wapi kuiga mfano? Mmekuwa walalamishi, kila siku humu nyuzi mpya za kulalamika, hamtaki kulisha matetea wenu, mara muwaite ombaomba, mara sijui nini.
Wajameni igeni mfano bora wa jogoo jamani, halafu hana hata kisasi pamoja na tetea kula mwamba ye kidogo tu👍, binadamu sasa!
Jioni njema jamani.