Binadamu mnashindwaje hata na jogoo?

Kinaitwaje hicho kitabu mkuu?nitafutie hata link tafadhali....Hapana TUNAWAPENDA
Kitabu kinaitwa "Goal diggers guide, how to get what you want from men without giving it up "- kimeandika na Baje Fletcher utakipata kwenye web ya docroid

NB:ungekuwa na upendo usingeulizia kitabu cha jinsi ya kutapeli pesa za wanaume Joannah
 
Kitabu kinaitwa "Goal diggers guide, how to get what you want from men without giving it up "- kimeandika na Baje Fletcher utakipata kwenye web ya docroid

NB:ungekuwa na upendo usingeulizia kitabu cha jinsi ya kutapeli pesa za wanaume Joannah
Asante...Hapana ,upendo ninao ila vitabu vinaongeza knowledge mdogo wangu
 
Uzuri jogoo huwa hatomby tetea mmoja[emoji16]
 
Na mkishazalishwa msidai matunzo Basi mpambane mleee watoto wenu Kama matetea[emoji16]
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„Huo mtihani mpya...tafadhali tuige mema ya jogoo mabaya tumuachie mwenyewe
 
Ulijaribu kufatilia majukumu anayotekeleza tetea mpaka anahudumiwa ivo
 
Ulijaribu kufatilia majukumu anayotekeleza tetea mpaka anahudumiwa ivo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Tumesema tuige yaliyo mema hayo ya kutelekeza watoto tumuachie jogoo
 
Sawa tetea Joannah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…