Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Hapo zamani za kale tuliishi kwa matunda an mizizi. Tulitembea umbali mrefu kutafuta mizizi an matunda haya. Mungu aliuwezesha mwili kuhifadhi chakula kwa njia ya mafuta. Hivyo ukikosa chakula kwa siku mbili au tatu mwili uliweza kutumia akiba kulisha ubongo na kuendeleza uhai.
Maendeleo ya zama za mawe an zama za vyuma yalituwezesha kuwinda na kulima nafaka pamoja an ile mizizi iliyokuwa inatafutwa porini kama mihogo, viazi, majimbi, nk.
Siku hizi vyakula vimekuwa vingi na tunavipata bila kutoka jasho. Ukweli ni kuwa ndizi moja mbivu inatosha kuwa kifungua kinywa. Mchana mayai mawili ya kuchemsha pamoja na nyanya an tango vinatosha kwa mlo wa mchana. Jioni vijiko vinne vya chakula na nusu mug ya maharage inatosha kwa mlo wa kulalia.
Huu no mlo wa wale wasiotumia nguvu nyingi kupata mkate wa kila siku.
Unaamka asubuhi unafungua fridge kuna mkate , mayai, sausage, unamaliza kula unaangalia tamthilia makes kesho kama kawa. Ni kukaribisha obesity
Maendeleo ya zama za mawe an zama za vyuma yalituwezesha kuwinda na kulima nafaka pamoja an ile mizizi iliyokuwa inatafutwa porini kama mihogo, viazi, majimbi, nk.
Siku hizi vyakula vimekuwa vingi na tunavipata bila kutoka jasho. Ukweli ni kuwa ndizi moja mbivu inatosha kuwa kifungua kinywa. Mchana mayai mawili ya kuchemsha pamoja na nyanya an tango vinatosha kwa mlo wa mchana. Jioni vijiko vinne vya chakula na nusu mug ya maharage inatosha kwa mlo wa kulalia.
Huu no mlo wa wale wasiotumia nguvu nyingi kupata mkate wa kila siku.
Unaamka asubuhi unafungua fridge kuna mkate , mayai, sausage, unamaliza kula unaangalia tamthilia makes kesho kama kawa. Ni kukaribisha obesity