Binadamu wa kwanza kuzaliwa na kuua

Inaogofya sana!
Mkuu hii tabia ya kuamini kila kitu tuliletewa na wazungu itatufikisha pabaya maana kwa sasa ukizungumzia chochote juu ya mungu wanapuuza na kukimbilia kusema eti hakuna mungu hiyo tu ni imagination, imagination for what
 
Mkuu hii tabia ya kuamini kila kitu tuliletewa na wazungu itatufikisha pabaya maana kwa sasa ukizungumzia chochote juu ya mungu wanapuuza na kukimbilia kusema eti hakuna mungu hiyo tu ni imagination, imagination for what
Kama kumwamini huyo Mungu ninayemwamini kuna manufaa kwangu.......wala sihitaji siasa katika hilo, awe ameletwa na mzungu, ama mhindi, ama mjapan mimi hainihusu. Imani huja kwa kusikia! So walinifanya nisikie! Nawashukuru sana!
 
Sasa ndio umeandika nini? Kweli ifike mahali hizi dini zipotee tu maana watu hawana akili kabisa! Sifuri kubwa imekukaa kichwani
 
Binadamu wa kwanza kuzaliwa na kuua aliishi Mabibo Beach.....wafia dini acheni upotoshaji
 
kwani kaini aliwekewa alama ili asiuliwe na wakina nani

Kumbuka hawa hawakuuana wakiwa watoto bali watu wazima kwa hiyo kwa kipindi wao wanakua na binadamu walikuwa wanazidi kuongezeka kupitia kwa wazazi wao yaani Adam na Hawa na hata ukisoma maandiko matakatifu yanaeleza kwamba Adam na Hawa waliendelea kuzaa watoto wengine na kadri walivyokuwa wanazaa ndivyo kizazi kilizidi kukua kwa hiyo walikuwa na watoto wengine ukiacha Kaini na Habili ila mm nilichomaanisha ni kuwa binadamu wa kwanza kuzaliwa ni Kaini na baadaye nduguye Habili akazaliwa na ni huyuhuyu Kaini aliyekuwa binadamu wa kwanza kuua baada ya kumuua nduguye Habili na kuhusu alitengwa ili asiuliwe na akina nani ni kuwa kipindi yeye na nduguye kaini wanakua pia watu walikuwa wanaongezeka kupitia adam na hawa na kipindi kaini anamuua ndugu yake tayari watu walikuwa wameshaongezeka.

Kwa Maelezo zaidi soma kitabu cha mwanzo kimeelezea kila kitu kwa undani
 
Sasa ndio umeandika nini? Kweli ifike mahali hizi dini zipotee tu maana watu hawana akili kabisa! Sifuri kubwa imekukaa kichwani

Endelea na meditation upae ndugu huwezi kuelewa kwa upeo ulionao.

Kila la heri.
 
kwani kaini aliwekewa alama ili asiuliwe na wakina nani
mbaya zaidi mungu wake alimwahidi kuwa atakaemuua KAINI ,atapewa adhabu mara saba,


lameki babake na Noah,ndiye aliemuua kaini,na adhabu mpaka leo hajapewa
 
Endelea na meditation upae ndugu huwezi kuelewa kwa upeo ulionao.

Kila la heri.
Kwahiyo mwanamke mmoja alikuwa anazaa watoto wawili wawili asubuhi na jioni?

Huko madrassa ndio mnafunzwa haya au ni makanisani? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Duh ! Kwa majibu yaliyotolewa hapa, inaonyesha dhahiri watu wanaomwamini Mwenyezi Mungu idadi inazidi kuporomoka kwa kasi. Hatari kubwa hii.

Waamini wa Mungu wengi tuko Africa huku ila uko kwa wenzetu idadi inazidi kuporomoka
 
Ndugu Yangu, haya yote nakubaliana na we we. Kwani na Mimi ni mfuasi Wa Yesu Wa Nazareth.
Nipo ktk safari ya kuelekea mbinguni.

Lakini Nina swali hapa, la kimaandiko.
Kaini ndie alie muua Abel, sawa.

Sasa basi kaini alipata watoto, alizaa na nani? Na wakati huo dunia ina watu watatu?
 
Kwahiyo mwanamke mmoja alikuwa anazaa watoto wawili wawili asubuhi na jioni?

Huko madrassa ndio mnafunzwa haya au ni makanisani? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ndio maana nakwambia kwa upeo ulionao huwezi kuelewa coz upeo wako ni mdogo sana hata nikueleweshe vipi.

Kazana na meditation kwanza uweze kupaa ukishaweza hilo kidooogo ntakuona ume-advance lakini kwa sasa bado mchanga sana hujakomaa.
 
Hili swali tayari nimeshalijibu kwa hiyo tafuta moja kati ya comment zangu utaliona hilo jibu
 
Hivi ni nani angemuua kwa kisasi ? Maana walikuwa wawili tu Kaini na kaka yake Habil ,waliobaki ni wazazi wao ,
 
Hapana, anaandika kile anacho kiamini.
Wabongo tumekuwa watu wa ajabu kwa kuamini kila kitu tumeletewa na wazungu na ninaamini hata leo akitokea mzungu halafu aseme wao ndo walileta waafrika kuna waafrika wengi watakaomsapoti yaani tupo pabaya mno kwa kuendelea kujazwa ujinga na hawa wazungu na kuwaamini inashangaza eti mtu kusema kuwa hakuna mungu eti ni imagination tu yaani daah poleni sana waafrika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…