Binadamu wa kwanza kuzaliwa na kuua

Binadamu wa kwanza kuzaliwa na kuua

kwanini iwe uongo wakati hata hao wa mwanzo kama babake abraham,wanaonekana mwanzo iraq?,hata mji wa babeli si uko iraq,ule mtumbwi nuhu alitumia kukimbia mafuriko ya mto frat ulioko iraq nao ulipelekwa na maji mpaka juu ya vilele vya mlima mmoja kule uturuki,jamii nzima kwa mjibu wa bible inaonekana kuanzia iraq,hata lugha aliyoongea abraham na hata yesu asili yake ni iraq pia

Mkuu hizo ni fasihi simulizi watu walizojijengea hatujui kama ni kweli au si kweli...kwa wewe kusoma kitabu kilichoandikwa na wanadamu halafu unaniambia ni kweli kwa asilimia mia moja wakati hakuna scientific proof kuwepo kwa hiyo jahazi ya nuhu iliyobeba wanyama wote duniani,nk.

Kila kitu kwenye biblia kipo debunked scientifically kua si kweli...hilo jahazi la nuhu ki-physics na technologia ya miaka hiyo hata sasa hamna atakaeweza jenga..achana na miaka ya giza huko,sasa hivi kwa technolojia kubwa tuliyofikia mwanadamu bado hawezi jenga hata kesho...mabaki yake ndio scientifically na archeologically ni proven haija exist.Kwahiyo tuache kuchukulia stori za biblia literally..

Mnara wa babeli,the tallest structure to ever happen on earth,ni proven and debunked kua ni uongo mtakatifu...kwa teknolojia ya sasa hakuna jengo duniani linaloweza vuka haemosphere kwenda stratosphere...hakuna tech hiyo...mabaki yake hayapo wakati ya mabaki ya materials za vitu vingine vyenye miaka mingi zaidi ya huo mnara wa kufikirika ni proven..

Kwanza biblia inapojitia inajua science ndio walipofelia zaidi,..mfano mdogo tu,per biblia walau duniani ina umri wa miaka laki na nusu,wakati science leo inaprove bila swali kua dunia ina 4bilion years,walioandika biblia ni wehu kabisa
 
Mkuu hizo ni fasihi simulizi watu walizojijengea hatujui kama ni kweli au si kweli...kwa wewe kusoma kitabu kilichoandikwa na wanadamu halafu unaniambia ni kweli kwa asilimia mia moja wakati hakuna scientific proof kuwepo kwa hiyo jahazi ya nuhu iliyobeba wanyama wote duniani,nk.

Kila kitu kwenye biblia kipo debunked scientifically kua si kweli...hilo jahazi la nuhu ki-physics na technologia ya miaka hiyo hata sasa hamna atakaeweza jenga..achana na miaka ya giza huko,sasa hivi kwa technolojia kubwa tuliyofikia mwanadamu bado hawezi jenga hata kesho...mabaki yake ndio scientifically na archeologically ni proven haija exist.Kwahiyo tuache kuchukulia stori za biblia literally..

Mnara wa babeli,the tallest structure to ever happen on earth,ni proven and debunked kua ni uongo mtakatifu...kwa teknolojia ya sasa hakuna jengo duniani linaloweza vuka haemosphere kwenda stratosphere...hakuna tech hiyo...mabaki yake hayapo wakati ya mabaki ya materials za vitu vingine vyenye miaka mingi zaidi ya huo mnara wa kufikirika ni proven..

Kwanza biblia inapojitia inajua science ndio walipofelia zaidi,..mfano mdogo tu,per biblia walau duniani ina umri wa miaka laki na nusu,wakati science leo inaprove bila swali kua dunia ina 4bilion years,walioandika biblia ni wehu kabisa

Fossils(mabaki ya mifupa)ya Adam na Hawa pamoja na uzao wao wa asubuhi na jioni nadhani vingesaidia wanahistoria (aerchiologist)kujua umri wao na pia ingekuwa rahisi kujua dunia iliumbwa lini.Mabaki ya mifupa yao imeshindikana vipi kupatikana?Biblia na Quran vyote chimbuko lake ni Uarabuni huko Iraki na aya za vitabu hivi vyote ni SIMULIZI kutoka midomo ya watu wa kale (oral traditions ).

Hasara kubwa ya kupata taarifa za historia kutoka simulizi za mdomo ni upotoshwaji wa taarifa aidha kwa kasahau au kutia madoido.

Kama baadhi ya watu walivyochangia mada hii, aya za biblia na kurani zinaonekana kama ni FISIHI SIMULIZI za Kiarabu kwa sababu kamwe huwezi kuthibitisha kisayansi yote yalionewa humo.
 
sasa kama kulikuwa na binadamu wengine umejuaje tena bila uthibitisho kwamba kaini ndio alikuwa wa kwanza kuzaliwa na kuua..?
Speculation. ...Anyway ndiyo kadiri ya level ya kuelewa kwake. ..tumshukuru kwa somo .....
 
Mkuu hizo ni fasihi simulizi watu walizojijengea hatujui kama ni kweli au si kweli...kwa wewe kusoma kitabu kilichoandikwa na wanadamu halafu unaniambia ni kweli kwa asilimia mia moja wakati hakuna scientific proof kuwepo kwa hiyo jahazi ya nuhu iliyobeba wanyama wote duniani,nk.

Kila kitu kwenye biblia kipo debunked scientifically kua si kweli...hilo jahazi la nuhu ki-physics na technologia ya miaka hiyo hata sasa hamna atakaeweza jenga..achana na miaka ya giza huko,sasa hivi kwa technolojia kubwa tuliyofikia mwanadamu bado hawezi jenga hata kesho...mabaki yake ndio scientifically na archeologically ni proven haija exist.Kwahiyo tuache kuchukulia stori za biblia literally..

Mnara wa babeli,the tallest structure to ever happen on earth,ni proven and debunked kua ni uongo mtakatifu...kwa teknolojia ya sasa hakuna jengo duniani linaloweza vuka haemosphere kwenda stratosphere...hakuna tech hiyo...mabaki yake hayapo wakati ya mabaki ya materials za vitu vingine vyenye miaka mingi zaidi ya huo mnara wa kufikirika ni proven..

Kwanza biblia inapojitia inajua science ndio walipofelia zaidi,..mfano mdogo tu,per biblia walau duniani ina umri wa miaka laki na nusu,wakati science leo inaprove bila swali kua dunia ina 4bilion years,walioandika biblia ni wehu kabisa
Wana science hao hao ndiyo walio tuletea na Bible. ...kazi kwako
 
Kwa jinsi ulivyoanza tu kwa kuona wanasayansi wanakudanganya umekosea na siwezi kukuunga mkono kwani hutumii elimu sahihi na ukweli sahihi.

Archaeologists walipata masalia ya mtu wa kale maeneo ya Neanderthal Valley Ufaransa. Fuvu lake la kichwa lilikuwa limepigwa na kitu kichwani kabla ya kufa kwake. Pia kuna alama za kukatwa zinazo-date sawa na kipindi alipokwepo. Datings zake zinaenda zaidi ya 200,000 years ago.

Kipindi hicho Bible haikwepo, Waandishi wa Biblia nao walikuwa hawapo. Pia Homo Neanderthal ni species ambayo imeshapotea duniani japokuwa ana share kiasi fulani cha DNA na Native Europeans wa sasa.

Unapotoa that story. Is it a fact? Au ni story tales za zamani za watoto? Au ni Beliefs za zamani?

Sometime tunaforce kuielewa biblia katika kihistoria kwa sababu lengo la biblia sio historia. Biblia ni Metaphor. Ni coding book. Sio kuichukua kama ilivyo na kuamini.

Kila story ina hidden meaning na sio kuchukuliwa kweli.

Kaini ana represent something, Abel ana represent something, the same to Adam, Abraham, Moses, na kadhalika. Sio story za kukuambia kuhusiana na maisha ya watu wa kale. Ingekwepo hivyo biblia ingekuwa imejaa kuelezea maisha yatu. Lakini kwanini hadithi zake zipo selective kwa baadhi ya watu? Kwani walikwepo kina daudi tu? Samson tu? Hakukwepo na wengine ambao story zao zingefaa kuandikwa?

Sayansi haipingani na dini. Evolution is real. Viumbe vilianza kutoka katika single form kwenda complex form. Uhai wa kwanza ulianza baharini na mpaka leo bahari inaongoza kwa kuwa na aina nyingi za viumbe kuliko nchi kavu. Mpaka leo kila kiumbe kinategemea maji. Ni adaptive system iliyoanza tangu maisha ya mwanzo.

Ushahidi mwingine wa evolution, wanyama wote wakiwa bado tumboni katika muda wa mwanzo wa kujitengeneza vijusi hufanana.

Nyani wana hedhi na periods sawa na mwanadamu na circulation sawa na mwanadamu.

Chimpanzee wana 98% DNA sawa na mwanadamu.

Masalia ya mwanadamu ya kale yanaonyesha ametoka katika aina ya Primate waliokuwa wanatembea miguu miwili kuanzia miaka Milioni saba iliyopita. Sahelanthropus tchadensis aliyepatikana Chad, sio mwanadamu na sio nyani. Ana sifa za kama mwanadamu na nyani na mifupa yake inaonyesha alitembea miguu miwili.

Ushahidi mwingine wa evolution, tuna wazingu, wachina, waafrika kwa sababu kila mmoja alibadilika kutokana na mazingira aliyoishi. Wanaoishi karibu na jua ni weusi na imetokana na mwili kujikinga na mionzi mikali.

Wanaoishi katika ncha ni weupo kutokana na kutotumika kwa melanin ambazo zinakinga mwanga wa jua.

Evolution is real.

Tafiti nyingine zinazoonyesha Evidence za uuaji ambazo zina dates miaka ya zamani kabla ya Biblia inavyosema hizi hapa...

Grisly evidence of Neanderthal cannibalism uncovered in a Belgian cave

Neanderthals and cannibalism: Evidence suggests intentional butchering in Belgium and tool-making from remains

Grisly evidence of Neanderthal cannibalism uncovered in a Belgian cave
 
Mkuu hizo ni fasihi simulizi watu walizojijengea hatujui kama ni kweli au si kweli...kwa wewe kusoma kitabu kilichoandikwa na wanadamu halafu unaniambia ni kweli kwa asilimia mia moja wakati hakuna scientific proof kuwepo kwa hiyo jahazi ya nuhu iliyobeba wanyama wote duniani,nk.

Kila kitu kwenye biblia kipo debunked scientifically kua si kweli...hilo jahazi la nuhu ki-physics na technologia ya miaka hiyo hata sasa hamna atakaeweza jenga..achana na miaka ya giza huko,sasa hivi kwa technolojia kubwa tuliyofikia mwanadamu bado hawezi jenga hata kesho...mabaki yake ndio scientifically na archeologically ni proven haija exist.Kwahiyo tuache kuchukulia stori za biblia literally..

Mnara wa babeli,the tallest structure to ever happen on earth,ni proven and debunked kua ni uongo mtakatifu...kwa teknolojia ya sasa hakuna jengo duniani linaloweza vuka haemosphere kwenda stratosphere...hakuna tech hiyo...mabaki yake hayapo wakati ya mabaki ya materials za vitu vingine vyenye miaka mingi zaidi ya huo mnara wa kufikirika ni proven..

Kwanza biblia inapojitia inajua science ndio walipofelia zaidi,..mfano mdogo tu,per biblia walau duniani ina umri wa miaka laki na nusu,wakati science leo inaprove bila swali kua dunia ina 4bilion years,walioandika biblia ni wehu kabisa

Thank you Sir. Tunahitaji watu ambao wana ujasiri wa kuongea ukweli bila kuogopa.
 
Ndio maana nakwambia kwa upeo ulionao huwezi kuelewa coz upeo wako ni mdogo sana hata nikueleweshe vipi.

Kazana na meditation kwanza uweze kupaa ukishaweza hilo kidooogo ntakuona ume-advance lakini kwa sasa bado mchanga sana hujakomaa.
Pumba
 
Kwa jinsi ulivyoanza tu kwa kuona wanasayansi wanakudanganya umekosea na siwezi kukuunga mkono kwani hutumii elimu sahihi na ukweli sahihi.

Archaeologists walipata masalia ya mtu wa kale maeneo ya Neanderthal Valley Ufaransa. Fuvu lake la kichwa lilikuwa limepigwa na kitu kichwani kabla ya kufa kwake. Pia kuna alama za kukatwa zinazo-date sawa na kipindi alipokwepo. Datings zake zinaenda zaidi ya 200,000 years ago.

Kipindi hicho Bible haikwepo, Waandishi wa Biblia nao walikuwa hawapo. Pia Homo Neanderthal ni species ambayo imeshapotea duniani japokuwa ana share kiasi fulani cha DNA na Native Europeans wa sasa.

Unapotoa that story. Is it a fact? Au ni story tales za zamani za watoto? Au ni Beliefs za zamani?

Sometime tunaforce kuielewa biblia katika kihistoria kwa sababu lengo la biblia sio historia. Biblia ni Metaphor. Ni coding book. Sio kuichukua kama ilivyo na kuamini.

Kila story ina hidden meaning na sio kuchukuliwa kweli.

Kaini ana represent something, Abel ana represent something, the same to Adam, Abraham, Moses, na kadhalika. Sio story za kukuambia kuhusiana na maisha ya watu wa kale. Ingekwepo hivyo biblia ingekuwa imejaa kuelezea maisha yatu. Lakini kwanini hadithi zake zipo selective kwa baadhi ya watu? Kwani walikwepo kina daudi tu? Samson tu? Hakukwepo na wengine ambao story zao zingefaa kuandikwa?

Sayansi haipingani na dini. Evolution is real. Viumbe vilianza kutoka katika single form kwenda complex form. Uhai wa kwanza ulianza baharini na mpaka leo bahari inaongoza kwa kuwa na aina nyingi za viumbe kuliko nchi kavu. Mpaka leo kila kiumbe kinategemea maji. Ni adaptive system iliyoanza tangu maisha ya mwanzo.

Ushahidi mwingine wa evolution, wanyama wote wakiwa bado tumboni katika muda wa mwanzo wa kujitengeneza vijusi hufanana.

Nyani wana hedhi na periods sawa na mwanadamu na circulation sawa na mwanadamu.

Chimpanzee wana 98% DNA sawa na mwanadamu.

Masalia ya mwanadamu ya kale yanaonyesha ametoka katika aina ya Primate waliokuwa wanatembea miguu miwili kuanzia miaka Milioni saba iliyopita. Sahelanthropus tchadensis aliyepatikana Chad, sio mwanadamu na sio nyani. Ana sifa za kama mwanadamu na nyani na mifupa yake inaonyesha alitembea miguu miwili.

Ushahidi mwingine wa evolution, tuna wazingu, wachina, waafrika kwa sababu kila mmoja alibadilika kutokana na mazingira aliyoishi. Wanaoishi karibu na jua ni weusi na imetokana na mwili kujikinga na mionzi mikali.

Wanaoishi katika ncha ni weupo kutokana na kutotumika kwa melanin ambazo zinakinga mwanga wa jua.

Evolution is real.

Tafiti nyingine zinazoonyesha Evidence za uuaji ambazo zina dates miaka ya zamani kabla ya Biblia inavyosema hizi hapa...

Grisly evidence of Neanderthal cannibalism uncovered in a Belgian cave

Neanderthals and cannibalism: Evidence suggests intentional butchering in Belgium and tool-making from remains

Grisly evidence of Neanderthal cannibalism uncovered in a Belgian cave
Tunahitaji vitu kama hivi mkuu,sio porojo ambazo ukizihoji utaanza kutishiwa moto,sijui unakufuru nk
 
Ni heri watu wakamgeukia mwanamke na mama duniani labda jibu la uwepo wa Mungu utajulikana.kiwango cha kumtambua Mungu kinaanzia kwa kumtambua MAMA kwanza ,ni hatari sana kuruka mamlaka,
 
Back
Top Bottom