Binadamu wapya wagundulika sayari ya Jupiter

Mbona wanatotolewa wakiwa na nguo?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Itakuwa sioni vzuri, ngoka nika[emoji377] [emoji377]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] JF aichoshi kwa kweli. Asante mleta mada kwa kuniongezaa siku za kuishi kama wasemavyo wanasayansi.
 
Mbona kama wapo beach.? Huyu mmoja anajipakulia.
 
unajua kuchora.. hongera
 
endeleeni kuota hizo ndoto! mtapalamia na majini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…