Binadamu wapya wagundulika sayari ya Jupiter

Jupiter is a gas Plannet that cannot accommodate any living creature who breathes oxygen...wanavuta helium labda
 
Binadamu kwenye Sayari ya Jupiter? You can't be serious!

Hints on Jupiter: "The temperature in the clouds of Jupiter is about minus 145 Celsius (minus 234 degrees Fahrenheit). The temperature near the planet's center is much, much hotter. The core temperature may be about 24,000 degrees Celsius (43,000 degrees Fahrenheit). That's hotter than the surface of the sun!"

Binadamu anawezaje kuishi mazingira haya? Mh, labda karne kadhaa zilizopita.
 

Umeambia ni binadamu wa kutotolewa tu kama kuku/ ndege ndio anamudu mazingira uliyosema.
 
Umeambia ni binadamu wa kutotolewa tu kama kuku/ ndege ndio anamudu mazingira uliyosema.
Ok, sasa ni nani anayetaga & kutotoa mayai hayo? Yanarutubishwa na nani? Angalieni msije kufuru mkasema kuwa mungu ni jogoo na ana majike totozi wa mayai! Ohoooo!
 
Kwa mujibu wa heading ya thread hii 'Binadamu wapya wagundulika sayari ya Jupiter' mgunduzi amejuaje kama hao ndio wapya na wala sio wa hapa duniani yaani sisi?
 
Ok, sasa ni nani anayetaga & kutotoa mayai hayo? Yanarutubishwa na nani? Angalieni msije kufuru mkasema kuwa mungu ni jogoo na ana majike totozi wa mayai! Ohoooo!

Watakuwa wanataga hao hao na yanarutubishwa na charged particles from the universe, clear direction sijui kwani katikati tu ya universe haijulikani kwa mujibu wa wanasayansi. Vipi kuhusu habari ya kwenye agano jipya la Biblia kuhusu mkombozi kuzaliwa? Kwani kwa mujibu wa Biblia kama alivyoandika mleta mada kuashiria ananukuu Biblia Adamu na Eva walitokeaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…