linatagwa na mtaga mayai!!Mmmhhh hilo yai linatagwa na nani sasa?
Kubwa kiasi hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
linatagwa na mtaga mayai!!Mmmhhh hilo yai linatagwa na nani sasa?
Kubwa kiasi hicho
Mie sitaki kumjua aliyelitaga ila kwakweli namuonea huruma. Kulitaga hilo si kazi nyepesi.Mmmhhh hilo yai linatagwa na nani sasa?
Kubwa kiasi hicho
Halafu eti wote wa kike tu.ha hhaahahha haha we sema umevutiwa na chura zao
Ha haHalafu eti wote wa kike tu.
Kuamni mpaka mnionyeshe kwanza hilo tetea linalotega hayo mayai nipime kwanza anus size ili niamini!!Katika utafiti wa kijiografia huko Marekani, imegundulika kuwa katika sayari ya jupiter pia huishi binadamu kama sayari yetu hii ya dunia [earth].
Tofauti iliyopo kati yao na siye ni kwamba, sisi huzaliwa kwa kupitia mama zetu baada ya kubeba mimba miezi 9 lakini wao hutotolewa kama vifaranga vya Mbuni baada ya kukaa katika yai mwaka 1 na miezi 7.
Wanaishi maisha mazuri sana kama ya Adamu na Eva. Hawaugui wala kufa bali wakizeeka huyeyuka na kupaa mbinguni. Wanaishi maisha ambayo hayapo duniani, hakuna magari wala majumba zaidi ya yote huko hakuna UKIMWI.
HII NDO JUPITER
View attachment 401458