naombeni mchango wa harusi 50 kwa kadi baada ya miezi 3,umepokea milioni 4 na ushee.
naombeni msaada nahitaji ada ya kumalizia muhula wa mwisho laki 950,pole sana kijana kwani hujapata mkopo wa bodi??,sisi hali ngumu mtaani huku.
Tena upuuzi wenye mapenzi ndani yake
Hahahaa...naombeni mchango wa harusi 50 kwa kadi baada ya miezi 3,umepokea milioni 4 na ushee.
naombeni msaada nahitaji ada ya kumalizia muhula wa mwisho laki 950,pole sana kijana kwani hujapata mkopo wa bodi??,sisi hali ngumu mtaani huku.
Noma sana!Rafiki zangu Kwakweli Mungu Ni Mwema ,Nimepata Kazi NMB Kama Loan Officer J3 naanza Kazi
0 likes , O Comments
Hello Nimefukuzwa Kazi Hapa Kazini Kwangu ,Hivyo Nipo Home Kupisha Uchunguzi Kwanza Hadi Uishe
90k likes ,89k Comments ,Hao ndio Walimwengu