Kapinga250819
New Member
- Feb 15, 2016
- 1
- 0
Kwani huyu Tulia ili agombee uspika c inabidi ajiondoe kwenye cheo cha unaibu au yeye anagombea tu bila ya kujivua kwenye cheo chake .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia anajuwa kiuhakika hawezi kupata kwa kuwa yeye ni Sukuma Gang na mtu aliyefika pale kwa msukumo wa Magufuli. Hivyo kwa makusudi ameacha kujiuzulu u Naibu Spika.Kwani huyu Tulia ili agombee uspika c inabidi ajiondoe kwenye cheo cha unaibu au yeye anagombea tu bila ya kujivua kwenye cheo chake .