- Thread starter
- #81
Pole sana, tunajua ulikuwa unamtetea Kikwete kwa sababu kuu moja tu alikuwa upande wako, safari hii jipange upya kumtetea rais Pombe.Kwa kuwa aliwakaribisha chadema Ikulu kupiga juisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana, tunajua ulikuwa unamtetea Kikwete kwa sababu kuu moja tu alikuwa upande wako, safari hii jipange upya kumtetea rais Pombe.Kwa kuwa aliwakaribisha chadema Ikulu kupiga juisi?
Unajua kamuuzia nani hiyo gesi!Leo anakuwacha una Gas cubic feet trillion 55.
Bila hizo safari zake ungeyapata hayo?
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Rais asiyethamini taaluma za watu wakiwemo waalimu, wauguzi yeye ni siasa tu,
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Rais asiyejali mihimili mingine,
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Rais aliyetuhumiwa kwa kila dili EPA yumo, Richmond yumo, Merameta yumo, Escrow yumo, what type of a president,
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Hakuipenda nchi nchi yake kwa dhati, tangu aseme pesa zetu siyo za umma niliumia sana,
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Maliasili zinahamishwa yeye hakujali,
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Rais aliyekuza udini na ukanda "rais hawezi toka kaskazini" hakuonekana kukemea,
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Rais aliyetuambia anayo majina ya wauza unga hadi leo anaondoka nayo,
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Rais anayesamehe wezi wakubwa wa EPA wakati wadogo wakiozea jela,
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Rais aliyependa vijembe kwa wananchi wanaotofautiana naye,
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Rais aliyetumia ofisi kwa maslahi yake na familia yake.
.
Wewe na familia yako ndo mmesonga mbele acha kubwabwaja hapa we mzee.
Huna lolote,"Kula uliwe" - Kikwete