Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Where was that saviour jesus during slavery and colonialism?Jesus is Lord and Saviour. And He is coming back very soon.πΊ
Wacha ubwegeMimi nipo katikati mkuu
Mimi acha niwe bwege tu lakini siwez ishi maisha ya kutanga tangaWacha ubwege
πππKiranga salaam, Umesha acha ule msimamo wa kutembea na panga kwenye mazungumzo ya amani π€£π€£
View attachment 3229022
Intelligent businessmanWhere was that saviour jesus during slavery and colonialism?
What did Jesus save during slavery?
Kwamba kuna gender mbili, male and female basiiii.Kuna opinion unaweza kuisema, then ikawa controversial kwa watu na wakakupinga vibaya mno ila wewe ndani yako unaiamini iko sahihi na luckily baadae wanakuja kujua ulikuwa sahihi ingawa walikuweka mtu kati kukushambulia na kukupinga
View attachment 3228964
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI
View attachment 3228996
Hakika itakuwa hiviMiaka 1000 ijayo kutakuwa na Jamii ya maroboti na watakuwa wanaambiana kuwa binadamu hakuwatengeneza bali wali evolve wenyewe toka kwenye Vaccum cleanerπππ
I mean no malice to nobodyπππ
kwa kweli , mimi binafsi sina hata mia hapa muda ila nikimbiwa milioni hii hapa vaa nguo ya ccm sitaweza.Hata niwekwe mtu kati siwez kuwa mwanachama wa ccm,ingawaje ccm kuna connections na hela