Binafsi ni maoni gani utabaki kuwa na msimamo nayo haijalishi hata kama ukiwekwa mtu kati namna hii?

Binafsi ni maoni gani utabaki kuwa na msimamo nayo haijalishi hata kama ukiwekwa mtu kati namna hii?

Wazungu hawaibi rasilimali za Africa, rasilimali za Africa zinaibwa na watawala wao wenyewe wa Africa na machawa wao.
 
Waafrika ni binadamu wajinga kuwahi tokea dunia hii.
Mzungu na mjapan ndio waajiri pekee hapa dunia i hawa wengine tunaganga njaa tuu maofisini mwao
 
Kiranga salaam, ume itazama hii mechi ya chess.

Gukesh vs Magnus carlsen?, Magnus kashinda. angalau haka ka bwana mdogo kata punguza mdomo.
Screenshot_20250211-012034_1.jpg
 
Back
Top Bottom