Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo kipindi hiki cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu

Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo kipindi hiki cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu

Program Manager

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
2,763
Reaction score
3,955
Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo wa madhehebu yote yanayofunga kipindi hiki Cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu.

Sijasikia mkristo yeyote akijisifu utakatifu Kwa kufunga kwake.

Sijaona wakristo wakizuia wengine kula hadharani Wala kuonesha kuchukizwa na Hilo

Sijaona wakristo wakihangaika na vikombe vya uji Wala sahani za magimbi muda wa kufuturu.

Sijasikia wakristo wakipiga kelele alfajiri kwamba wanakula chakula Ili waweze kuvumilia njaa ya mchana kutwa Hadi muda wa kufuturu.

Sijaona vijana wa kikristo wakihangaika kwenda kula chakula kanisani kipindi hiki Cha mfungo wao.

Nimechunguza mengi Kwa wakristo na nimegundua wanafanya mambo Yao kiungwana bila kubugudhi wengine.

Nimeambiwa wakristo wanafunga siku arobaini na mwisho wa kula au kunywa ni saa 5 dakika 59 usiku baada ya hapo mkristo hatakiwi kula Wala kunywa ila wanaruhusiwa kusafisha kinywa Kwa mswaki na maji,na kuoga pia.

Hongera sana wakristo,BWANA wenu awabariki nyote katika mfungo wenu na iweni na kwaresma njema
 
Kila MTU ashinde mechi zakeeeee babu.

As long as hawavunji Sheria, basi kila MTU awe huru afanye vile vinavyo mpa Amani ya moyo na akili....


Sema nini kwenye dini watu wa middle east walizo zileta walituweza saaana waafrica
 
Mimi sina dini lakini nawakubali wakristo japo wana mapungufu yao lakini yanavumilika. Wakristo wamevuka stage ya unyani kidogo ndio wanausogelea ubinadamu.
Wengine hawa wa alahu akbaru wameachwa mbali kiasi cha kukatisha tamaa.
Nimeangalia huko Syria alahu kwa alahu wanauana kikatili sana kitu ambacho hata nyani hawafanyi.
Mfano mwingine ukienda hepo Zanzibar alahu kafunga lakini akiona mtu mwingine akila anaona wivu hadi anaanzisha fujo. Huu sii uungwana hata kidogo
 
Katika ukristu, funga ni SIRI
IMG_20250313_224020.jpg



Ila tusiwanyime waislamu maua yao. Wapo serious na mfungo kuliko wakristu ndio maana wanapoanza kufunga, impact inaonekana kwa uharaka..
 
Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo wa madhehebu yote yanayofunga kipindi hiki Cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu.

Sijasikia mkristo yeyote akijisifu utakatifu Kwa kufunga kwake.

Sijaona wakristo wakizuia wengine kula hadharani Wala kuonesha kuchukizwa na Hilo

Sijaona wakristo wakihangaika na vikombe vya uji Wala sahani za magimbi muda wa kufuturu.

Sijasikia wakristo wakipiga kelele alfajiri kwamba wanakula chakula Ili waweze kuvumilia njaa ya mchana kutwa Hadi muda wa kufuturu.

Sijaona vijana wa kikristo wakihangaika kwenda kula chakula kanisani kipindi hiki Cha mfungo wao.

Nimechunguza mengi Kwa wakristo na nimegundua wanafanya mambo Yao kiungwana bila kubugudhi wengine.

Nimeambiwa wakristo wanafunga siku arobaini na mwisho wa kula au kunywa ni saa 5 dakika 59 usiku baada ya hapo mkristo hatakiwi kula Wala kunywa ila wanaruhusiwa kusafisha kinywa Kwa mswaki na maji,na kuoga pia.

Hongera sana wakristo,BWANA wenu awabariki nyote katika mfungo wenu na iweni na kwaresma njema
Ongezea na hii.... Hakuna kufatiliana kama umefunga kwani kufunga ni kati ya mtu na Mungu na siyo kuwindana nani anakula ili kuchapana viboko na kupeana majina ya ajabu ajabu.
 
Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo wa madhehebu yote yanayofunga kipindi hiki Cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu.

Sijasikia mkristo yeyote akijisifu utakatifu Kwa kufunga kwake.

Sijaona wakristo wakizuia wengine kula hadharani Wala kuonesha kuchukizwa na Hilo

Sijaona wakristo wakihangaika na vikombe vya uji Wala sahani za magimbi muda wa kufuturu.

Sijasikia wakristo wakipiga kelele alfajiri kwamba wanakula chakula Ili waweze kuvumilia njaa ya mchana kutwa Hadi muda wa kufuturu.

Sijaona vijana wa kikristo wakihangaika kwenda kula chakula kanisani kipindi hiki Cha mfungo wao.

Nimechunguza mengi Kwa wakristo na nimegundua wanafanya mambo Yao kiungwana bila kubugudhi wengine.

Nimeambiwa wakristo wanafunga siku arobaini na mwisho wa kula au kunywa ni saa 5 dakika 59 usiku baada ya hapo mkristo hatakiwi kula Wala kunywa ila wanaruhusiwa kusafisha kinywa Kwa mswaki na maji,na kuoga pia.

Hongera sana wakristo,BWANA wenu awabariki nyote katika mfungo wenu na iweni na kwaresma njema
FB_IMG_17418407421406114.jpg
 
Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo wa madhehebu yote yanayofunga kipindi hiki Cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu.

Sijasikia mkristo yeyote akijisifu utakatifu Kwa kufunga kwake.

Sijaona wakristo wakizuia wengine kula hadharani Wala kuonesha kuchukizwa na Hilo

Sijaona wakristo wakihangaika na vikombe vya uji Wala sahani za magimbi muda wa kufuturu.

Sijasikia wakristo wakipiga kelele alfajiri kwamba wanakula chakula Ili waweze kuvumilia njaa ya mchana kutwa Hadi muda wa kufuturu.

Sijaona vijana wa kikristo wakihangaika kwenda kula chakula kanisani kipindi hiki Cha mfungo wao.

Nimechunguza mengi Kwa wakristo na nimegundua wanafanya mambo Yao kiungwana bila kubugudhi wengine.

Nimeambiwa wakristo wanafunga siku arobaini na mwisho wa kula au kunywa ni saa 5 dakika 59 usiku baada ya hapo mkristo hatakiwi kula Wala kunywa ila wanaruhusiwa kusafisha kinywa Kwa mswaki na maji,na kuoga pia.

Hongera sana wakristo,BWANA wenu awabariki nyote katika mfungo wenu na iweni na kwaresma njema
Unajitekenya halafu unacheka wewe mwenyewe!
Hiyo pia ni aina ya wendawazimu!.
 
Back
Top Bottom