Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo kipindi hiki cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu

Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo kipindi hiki cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu

Katika ukristu, funga ni SIRI
View attachment 3269499


Ila tusiwanyime waislamu maua yao. Wapo serious na mfungo kuliko wakristu ndio maana wanapoanza kufunga, impact inaonekana kwa uharaka..
Allaah ametuagiza tuwaambieni hivi :
"{ قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ }

Sema: Enyi makafiri!

{ لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ }
Siabudu mnacho kiabudu;

{ وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ }
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.

{ وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ }

Wala sitaabudu mnacho abudu.

{ وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ }
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.

{ لَكُمۡ دِينُكُمۡ وَلِيَ دِينِ }

NYINYI MNA DINI YENU NA MIMI NINA DINI YANGU. .

--mwisho wa kunukuu--

Kwanini mnataka tufanane?!
Nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu!
Nyinyi mna ibada zenu na sisi tuna ibada zetu!
Nyinyi mna sala zenu na sisi tuna swala zetu!
Nyinyi mna zaka na sadaka zenu na sisi tuna zaka na swadaqa zetu!
Nyinyi mna funga zenu na sisi tuna swaumu zetu!
Nyinyi mna hija zenu na sisi tuna hija na Umra zetu!
Msilazimishe tufanane wakati dini zetu ni tafauti na hivyo swala zetu haziwezi kufanana na sala zenu!
Zaka na swadaqa zetu haziwezi fanana na zaka na sadaka zenu!
Swaumu zetu haziwezi fanana na funga zenu?
Hija zetu haziwezi fanana na hija zenu!.
Sisi tunafanya ibada kulingana na tulivyofundishwa na mtume صلى الله عليه وآله وسلم wala hatuigi dini ya mtu yeyote kwa sababu
NYINYI MNA DINI YENU NA SISI TUNA DINI YETU katu! Ibada za kiislamu haziwezi fanana na ibada za dini yoyote nyingine.
Sasa kama mnaona nyinyi ndio mnafunga sawasawa endeleeni hivyohivyo na sisi tunafunga kulingana na tulivyofundishwa na mtume wetu
صلى الله عليه وآله وسلم.
Lakini mwisho nawauliza tena swali ambalo hamtaki kulijibu.
Yesu alifunga siku arobaini usiku na mchana!
Nyinyi ni shetani gani aliwafindisha kufunga mchana na kula usiku?!
Andiko la kuruhusiwa kula usiku mumefundishwa na nani?!
Kwanini mnashindwa kumuiga bwana yesu au imani zenu ni ndogo ?!
 
Iftaaaaaaaari
Maaskofu wenu, wachungaji na maparoko wakialikwa iftaaaaaari ikulu au kwa kiongozi yoyote wa mkoa au wilaya au kwa tajiri fulani wanakuwa wakwanza kuwahi nafasi kuwashinda hata hao waislamu waliofunga na mkitaka ushahidi wa picha naweka!.
 

Attachments

  • 03... (1).jpeg
    03... (1).jpeg
    1 MB · Views: 1
Allaah ametuagiza tuwaambieni hivi :
"{ قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ }

Sema: Enyi makafiri!

{ لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ }
Siabudu mnacho kiabudu;

{ وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ }
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.

{ وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ }

Wala sitaabudu mnacho abudu.

{ وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ }
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.

{ لَكُمۡ دِينُكُمۡ وَلِيَ دِينِ }

NYINYI MNA DINI YENU NA MIMI NINA DINI YANGU. .

--mwisho wa kunukuu--

Kwanini mnataka tufanane?!
Nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu!
Nyinyi mna ibada zenu na sisi tuna ibada zetu!
Nyinyi mna sala zenu na sisi tuna swala zetu!
Nyinyi mna zaka na sadaka zenu na sisi tuna zaka na swadaqa zetu!
Nyinyi mna funga zenu na sisi tuna swaumu zetu!
Nyinyi mna hija zenu na sisi tuna hija na Umra zetu!
Msilazimishe tufanane wakati dini zetu ni tafauti na hivyo swala zetu haziwezi kufanana na sala zenu!
Zaka na swadaqa zetu haziwezi fanana na zaka na sadaka zenu!
Swaumu zetu haziwezi fanana na funga zenu?
Hija zetu haziwezi fanana na hija zenu!.
Sisi tunafanya ibada kulingana na tulivyofundishwa na mtume صلى الله عليه وآله وسلم wala hatuigi dini ya mtu yeyote kwa sababu
NYINYI MNA DINI YENU NA SISI TUNA DINI YETU katu! Ibada za kiislamu haziwezi fanana na ibada za dini yoyote nyingine.
Sasa kama mnaona nyinyi ndio mnafunga sawasawa endeleeni hivyohivyo na sisi tunafunga kulingana na tulivyofundishwa na mtume wetu
صلى الله عليه وآله وسلم.
Lakini mwisho nawauliza tena swali ambalo hamtaki kulijibu.
Yesu alifunga siku arobaini usiku na mchana!
Nyinyi ni shetani gani aliwafindisha kufunga mchana na kula usiku?!
Andiko la kuruhusiwa kula usiku mumefundishwa na nani?!
Kwanini mnashindwa kumuiga bwana yesu au imani zenu ni ndogo ?!
Ukristo sio dini Quran imekosea na ndo kitabu mnachokiamini
According to waislam ukristo sio dini
 
Ukristo sio dini Quran imekosea na ndo kitabu mnachokiamini
According to waislam ukristo sio dini
Ukisikia muislamu anasema ukristo sio dini huyo mtu kakosa elimu sahihi ya dini!
Iwe kuabudu masanamu ni dini , kuabudu misalaba ndio isiwe dini!
Kwa taarifa yako hata upagani ni dini!
Dini ni aina yoyote ya mfumo wa maisha ambao mtu kauchagua kuwa ndio mwongozo wa maisha yake.
Kwa hiyo yule anayeabudu mizimu basi hiyo ndiyo dini yake na anayeabudu jua, mwezi, nyota, moto, mawe nk hcho anacho kuabudu na utaratibu wa kuabudu hiyo dini yake !
Kwahiyo uislamu ni dini, ukristo ni dini, uyahudi ni dini, ubudha ni dini, uhindu ni dini, ubaniani ni dini nk.
Dini ziko nyingi sana ila DINI YA HAKI NA SAHIHI MBELE YA ALLAAH NI UISLAMU kama alivyosema mwenyewe Allaah katika Suurat Aali Imrani Aya ya 19 ya kwamba :,
"{ إِنَّ ٱلدِّينَ عِندَ ٱللَّهِ ٱلۡإِسۡلَٰمُۗ
Bila ya shaka Dini (ya haki na sahihi)mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. "

Na akasema pia katika sura hiyohiyo Aalu Imrani Aya ya 85 ya kwamba :.
"{ وَمَن يَبۡتَغِ غَيۡرَ ٱلۡإِسۡلَٰمِ دِينٗا فَلَن يُقۡبَلَ مِنۡهُ وَهُوَ فِي ٱلۡأٓخِرَةِ مِنَ ٱلۡخَٰسِرِينَ }

Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kupata hasara"
 
Kristo anataka ukifunga ufanye kwa siri
Kristo alifunga siku 40 usiku na mchana, nyinyi funga ya kula usiku na kufunga mchana peke yake mumetoa wapi au tuseme ya kwamba mnajaribu kuwa mnajaribu kiwaiga waislamu?!
Mumefundishwa na nani kula usiku wakati kristo alifunga usiku na mchana?! Au uroho?! Au imani yenu ni ndogo hivyo mumeshindwa kumuiga kristo aliyewaambia mjifumge nira yake NA MJIFUNZE KWAKE!
 
Maaskofu wenu, wachungaji na maparoko wakialikwa iftaaaaaari ikulu au kwa kiongozi yoyote wa mkoa au wilaya au kwa tajiri fulani wanakuwa wakwanza kuwahi nafasi kuwashinda hata hao waislamu waliofunga na mkitaka ushahidi wa picha naweka!.
Waislamu hatuna roho mbaya. Kwenye futari hata wakristo tunafuturu nao , na wengine hupiga kanzu na balagjashia ili wafanane na sisi tuliofunga!
 

Attachments

  • images(26) (1).jpg
    images(26) (1).jpg
    10.5 KB · Views: 1
Waislamu hatuna roho mbaya. Kwenye futari hata wakristo tunafuturu nao , na wengine hupiga kanzu na balagjashia ili wafanane na sisi tuliofunga!
Hadi masista wa kanisa katoliki tunafuturu nao halafu anakuja mtu mmoja mjingamjinga anaisem vibaya iftaari yetu.
 

Attachments

  • images(26) (2).jpg
    images(26) (2).jpg
    41.3 KB · Views: 1
  • images(28) (1).jpg
    images(28) (1).jpg
    64.4 KB · Views: 1
Hiyo funga iwe siri unaishi maporini? Wakristo wanafunga wakatoliki peke yake kwa siku zao. Wengine wanafunga hadi pastor awaambie.
Mtu akifunga unajua labda uweke funga yenu ya kihuni ya mtu kutokunywa pombe peke yake.
 
Mimi sina dini lakini nawakubali wakristo japo wana mapungufu yao lakini yanavumilika. Wakristo wamevuka stage ya unyani kidogo ndio wanausogelea ubinadamu.
Wengine hawa wa alahu akbaru wameachwa mbali kiasi cha kukatisha tamaa.
Nimeangalia huko Syria alahu kwa alahu wanauana kikatili sana kitu ambacho hata nyani hawafanyi.
Mfano mwingine ukienda hepo Zanzibar alahu kafunga lakini akiona mtu mwingine akila anaona wivu hadi anaanzisha fujo. Huu sii uungwana hata kidogo
Huko DRC Kuna jamaa wanauana pia ni waislamu waliotoka Syria ndio wanaua watu DRC na Ukraine?
 
Sijui kwa nini nikimuona mtu anahangaisha akili juu ya hizi imani huwa namdharau.

Kwani ukisimama unapopaamini wewe na kuheshimu wengine hata kama unawaona hawapo sahihi utapungukiwa nini?

#HebuMkue.
 
Back
Top Bottom