Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo kipindi hiki cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu

Ndo maana tunasema mnabadili ratiba ya kula.Maswahaba walikuwa waoga wa njaa na walafi
 
Moshi wakristu ni wengi kuliko waislamu
nenda Zanzibar ule hadharani kipindi hichi ndio utaona kipigo chake
mfano hiyo video
Your browser is not able to display this video.
 
Asante, hongera kwa utaratibu uliojiwekea wa kufunga na kuomba, kubishana sana na watu wa namna hii haiwezi kuwa na matunda, hawa ni kuendelea kufundisha au kuhubiri neno kwa usahihi watakutana na Mungu huko huko.
 
Wakiristo si ndio wanafunga ukifika saa 6 mchana wanakula kidogo sasa hapo funga iko wapi
 
Kuna swali hapo Mjoli wa Bwana. Je kuna andiko gani linalowataka wakristo wafunge? Wanasubiri jibu.
Maandiko yapo mengi mno, haya ni baadhi tu;

Kutoka 8
8 Ndipo Farao akawaita Musa na Haruni na kuwaambia, Mwombeni Bwana, ili awaondoe vyura hawa kwangu mimi na kwa watu wangu; nami nitawapa watu ruhusa waende zao, ili wamtolee Bwana dhabihu.

Zekaria 10
1 Mwombeni Bwana mvua wakati wa masika, naam, Bwana afanyaye umeme, naye atawapa manyunyu ya mvua, kila mtu atapewa nyasi kondeni.

Mathayo 17
21 [Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.]

Mathayo 7
7 Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa;
 
Umeona like yangu huko?
 
Naomba kuuliza,
Hivi utaratibu wa kufunga ktk ukristo umeelekezwa ktk biblia?
Umeseme wakristo mwisho wa kula NI saa 5:59 uck, Hilo NI fundisho la kanisa au fundisho la biblia?
Jirani yangu NI dhehebu la efatha, kanisa la mwingira pale mwenge Dsm. Wao (efatha) wanafunga mwezi wa tano. Nikimuuliza, anasema kwmb hii funga ya kwalezima, NI ya katoliki.
Kanisa lengine lipo tegeta nyuki, linaitwa kanisa halisi la mungu baba. Wao wanasema hawafungi kabisa, kwasababu huyo mungu baba tayari ameshakuja, nyakati zile watu walikuwa wanafunga kwasababu mungu alikuwa yupo mbinguni, lkn kwa Sasa ameshafika, hakuna haja ya kufunga, Hilo kanisa wote wanavaa nguo nyeupe, wanawake wanavaa mashela kama ya Bibi harusi, na kofia kama ya malkia. Wanaume wanavaa suruali na shati mfano wa nusu kanzu. Kama kanzu wanazovaa waislam

FUNGA YA WAISLAM IMEELEKEZWA KTK QURAN, KTK ZILE NGUZO TANO ZA UISLAM, 1 SHAHADA, 2 SWALA, 3 FUNGA YA RAMADHANI, 4 ZAKA, 5 KUHIJI (KWA MWENYE UWEZO) QURAN IMEELEKEZWA NAMNA GANI HIYO FUNGA INAVYOTAKIWA KUWA, MUDA WA KUANZA NA MUDA WA KUFUNGUA. NI QURAN NDIYO IMEELEKEZA. SIYO MSIKITI NDIYO UMEELEKEZA.

Lakini ktk ukristo hii funga ya kwalezima, msingi wake mkubwa umeegemea ktk mafundisho ya kanisa, lkn ndani ya biblia hauwezi ukapata yanayojitosheleza kuhusu kufunga.
Naomba niwasilishe hoja
 
Asili Ya kitu Huwa hakipotei Kwa hiyo Yesu Alisimama kwa Neno la Mungu?
Mi nilijua utaandika kama hivi:

Yesu alisimama kwa Neno lake!
Wakristo hamna tofauti na Wahindi wanao Amini Ng'ombe Ni Mungu Wote Akili kisoda.
Huna Hoja......Mnamuombea mtu amani kila siku hamna uhakika alipo ??
 
Tunaabudu Mungu tofauti na maelekezo tofauti
Kwahiyo hayo ya kwenu Sio ya kwetu
Jua hivyo maana km ni kufunga sisi tuna ibada tofauti tofauti
Soma Daniel, Esta, pia Musa msome plus Yesu mwenyewe
SS we huwezi kuelewa!
Na Tuna funga yetu kasome isaya 58.

Na sisi hatufungi Kwaresma tu
 
Qur
an ni maneno ya Waraqah bin NaufAlikopi kila kitu kwenye biblia na kumpa Mudy awadanganye
 
Ndo maana tunasema mnabadili ratiba ya kula.Maswahaba walikuwa waoga wa njaa na walafi
Wewe huwa una funga?
Kama huwa unafunga,huwa unafunga mchana au usiku?

Je,ili wasiwe wamebadili ratiba ya kula ina bidi wafungaje kwa mujibu wako?

Hivi watu wakila usiku kikwenu wanakua ni walafi?

Je,Wewe unaujua vizuri utaratibu wa funga yao kuliko wao? Unataka wa funge kwa utaratibu wao au kwa utaratibu wako?

Kashfa na kejeli juu ya imani isiyokuwa yako haikufanyi wewe kuwa bora na mtakatifu.zaidi inaweza kukufunua na kuonesha una akili na roho ya namna gani juu ya wengine.

Wewe una kwaresma yako,funga kwa utaratibu wako,wao wana ramadhani yao acha wafunge kwa utaratibu wao.

Usipangie watu katika imani yao!
 
Ndo maana tunasema mnabadili ratiba ya kula.Maswahaba walikuwa waoga wa njaa na walafi
Nyie ambao sio waoga wa njaa na walafi tuambie
A. Yatakiwa mfunge kuanzia muda gani hadi muda gani na uweke andiko linaloonyesha maelekezo hayo toka kwa Mingi au hata kutoka kwa Yesu.
B. Kuna mgalatia mwenzenu kasema yatakiwa mfunge hadi saa kumi na mbili halafu hamna kula Tena hadi kesho saa 12.
Ni andiko gani linasema tufungue saa 12 ?!
C. Ni wapi Yesu kakataza mtu akifungua hiyo saa 12 asile tena hadi siku ya pili?!
 
Makafiri ni wepi hao?
Twende kwenye kamusi ya kiswahili sanifu utilize kwa mujibu wa lugha ya kiswahili kafiri ni nani?
Hapa chini nakuwekea picha ya kamusi ya kiswahili sanifu toleo la 3 iliyoyotolewa na Taasisi ya Taaluma za Kiswahili TATAKI ambayo zamani ilikuwa ukijulikana kama Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili TUKI.
ya chuo kikuu cha Dar es Salaam.
 

Attachments

  • IMG_20250314_223456_376.jpg
    430.6 KB · Views: 1
  • IMG_20250314_223605_621.jpg
    428.2 KB · Views: 1
  • IMG_20250314_223702_408.jpg
    429.4 KB · Views: 1
Hapo kwenye kamusi wameweka maana tatu za neno kafiri sasa hiyo maana ya tatu ndiyo ambayo waislamu tunamaanisha tunaposema neno kafiri kwa mujibu wa dini yetu na kwa mujibu wa lugha ya kiswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…