Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo kipindi hiki cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu

Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo kipindi hiki cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu

Mcha Mungu alikuwa Yesu ndiye aliyeweza kumshinda shetani katika funga yake, alifunga siku 40 usiku na mchana bila ya kula chochote akiwa nyikani na kujaribiwa na shetani kwa vishawishi tofauti, soma (Mathayo 4:1-11, Marko 1:12-13, and Luka 4:1-13). Kama wanaojiita ni wafuasi wa Yesu kweli wangefunga funga aliyoifunga Yesu, wangekuwa ndiyo mfano pekee wa ucha Mungu, kwani imeandikwa katika Mathayo 11:29-30 Yesu anasema "Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."
Kuna mkuu mmoja pale juu ameelezea vizuri hili la kwanini yesu alifunga siku 40 usiku na mchana na wakristo hawafungi Kwa Utaratibu huo,Mimi nimejifunza vizuri sana kwenye paragraph zake
 
c huwa wanajianika mabarazani na kando kando ya njia wakati wa kula kujionyesha walifunga
Hujui ile maana yake nini kaa kimya. Ngoja nikufahamishe, katika uislam funga ni moja ya nguzo zake hivyo ni lazima kwa muislamu kufunga isopokua kuna makund malaam yameshabainishwa mfano mgonjwa, mama anaenyonyesha, mjamzito nk.
Hivyo kufuturu barazani maana yake hata ambao hawana uwezo wa ku afford futari waweze kujumuika na wanao futuru kuliko kujifungia ndani hawa wasio na iwezo watashindwa kutimiza nguzo hii.
 
Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo wa madhehebu yote yanayofunga kipindi hiki Cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu.

Sijasikia mkristo yeyote akijisifu utakatifu Kwa kufunga kwake.

Sijaona wakristo wakizuia wengine kula hadharani Wala kuonesha kuchukizwa na Hilo

Sijaona wakristo wakihangaika na vikombe vya uji Wala sahani za magimbi muda wa kufuturu.

Sijasikia wakristo wakipiga kelele alfajiri kwamba wanakula chakula Ili waweze kuvumilia njaa ya mchana kutwa Hadi muda wa kufuturu.

Sijaona vijana wa kikristo wakihangaika kwenda kula chakula kanisani kipindi hiki Cha mfungo wao.

Nimechunguza mengi Kwa wakristo na nimegundua wanafanya mambo Yao kiungwana bila kubugudhi wengine.

Nimeambiwa wakristo wanafunga siku arobaini na mwisho wa kula au kunywa ni saa 5 dakika 59 usiku baada ya hapo mkristo hatakiwi kula Wala kunywa ila wanaruhusiwa kusafisha kinywa Kwa mswaki na maji,na kuoga pia.

Hongera sana wakristo,BWANA wenu awabariki nyote katika mfungo wenu na iweni na kwaresma njema
Hapa utagundua Matatizo la Mleta Uzi
 

Attachments

  • 0BD0FF07-BF54-4E25-B580-ABE36FABF510.jpeg
    0BD0FF07-BF54-4E25-B580-ABE36FABF510.jpeg
    350.5 KB · Views: 1
Nyinyi hamna mfungo kulingana na biblia Yesu alifunga siku 40 usiku na mchana.
Nyinyi andiko la kufunga mchana na kula usiku mumefundishwa na nani?!
 
Umekaa zako unajitafakari ghafla anakuja mtu anakugusa “vipi kaka,swaumu kali nini?dah maana ya leo!” unainua shingo unajichekesha kidogo kutafuta cha kumjibu kabla hujajibu yule anayekujua sana (mshkaji wako) anamwambia “aah huyo si anaitwa Alex,hawafungagi hao,kufunga niulize mimi”

Mimi huwa nabaki nawaangalia tu
 
Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo wa madhehebu yote yanayofunga kipindi hiki Cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu.

Sijasikia mkristo yeyote akijisifu utakatifu Kwa kufunga kwake.

Sijaona wakristo wakizuia wengine kula hadharani Wala kuonesha kuchukizwa na Hilo

Sijaona wakristo wakihangaika na vikombe vya uji Wala sahani za magimbi muda wa kufuturu.

Sijasikia wakristo wakipiga kelele alfajiri kwamba wanakula chakula Ili waweze kuvumilia njaa ya mchana kutwa Hadi muda wa kufuturu.

Sijaona vijana wa kikristo wakihangaika kwenda kula chakula kanisani kipindi hiki Cha mfungo wao.

Nimechunguza mengi Kwa wakristo na nimegundua wanafanya mambo Yao kiungwana bila kubugudhi wengine.

Nimeambiwa wakristo wanafunga siku arobaini na mwisho wa kula au kunywa ni saa 5 dakika 59 usiku baada ya hapo mkristo hatakiwi kula Wala kunywa ila wanaruhusiwa kusafisha kinywa Kwa mswaki na maji,na kuoga pia.

Hongera sana wakristo,BWANA wenu awabariki nyote katika mfungo wenu na iweni na kwaresma njema
Asante sana.sifa na utukufu ni Kwa Mungu.

Tena aliyekwambua sie mwisho kula sa tano usiku kakudanganya, hakuna mkristo anaefunga anakula usiku huo
Tukishafungua sa kumi na mbili wachache wanakula sa mbili kidogo basi mpk kesho tena
 
c huwa wanajianika mabarazani na kando kando ya njia wakati wa kula kujionyesha walifunga
Na mkialikwa kuja kufuturu mbona hamkatai?!
Hamuogopi kuvimbiwa ?!
Hawa hapa masisita wa kanisa katoliki wakiwa wamejianika kwenye futari pamoja na waislamu!.
Tatizo mkikosa mwaliko ndio mnachukia na kuanza kutoa maneno mabaya , mkialikwa mnawahi siti za mbele kuwatangulia hata hao waislamu waliofunga!.
 

Attachments

  • images(28) (1).jpg
    images(28) (1).jpg
    64.4 KB · Views: 1
  • images(26) (2).jpg
    images(26) (2).jpg
    41.3 KB · Views: 1
Umekaa zako unajitafakari ghafla anakuja mtu anakugusa “vipi kaka,swaumu kali nini?dah maana ya leo!” unainua shingo unajichekesha kidogo kutafuta cha kumjibu kabla hujajibu yule anayekujua sana (mshkaji wako) anamwambia “aah huyo si anaitwa Alex,hawafungagi hao,kufunga niulize mimi”

Mimi huwa nabaki nawaangalia tu
Nimecheka ujue
Yaani km sifa hivi
 
Umekaa zako unajitafakari ghafla anakuja mtu anakugusa “vipi kaka,swaumu kali nini?dah maana ya leo!” unainua shingo unajichekesha kidogo kutafuta cha kumjibu kabla hujajibu yule anayekujua sana (mshkaji wako) anamwambia “aah huyo si anaitwa Alex,hawafungagi hao,kufunga niulize mimi”

Mimi huwa nabaki nawaangalia tu
Nimecheka ujue
Yaani km sifa hivi
 
Maaskofu wenu, wachungaji na maparoko wakialikwa iftaaaaaari ikulu au kwa kiongozi yoyote wa mkoa au wilaya au kwa tajiri fulani wanakuwa wakwanza kuwahi nafasi kuwashinda hata hao waislamu waliofunga na mkitaka ushahidi wa picha naweka!.
Ni wapumbavu tu na hawajui km chakula ni ibada.
Mwisho wa siku wanaishia kuwa wapuuzi nguvu za Mungu hakuna inabaki story, watumishi wa kweli wa Mungu, maaskofu na wachungaji wa kweli huwezi kuwakuta kwenye hivyo vyakula sbb wanaelewa chakula ni Cha kiroho sio Cha kimwili.
 
Allaah ametuagiza tuwaambieni hivi :
"{ قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ }

Sema: Enyi makafiri!

{ لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ }
Siabudu mnacho kiabudu;

{ وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ }
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.

{ وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ }

Wala sitaabudu mnacho abudu.

{ وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ }
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.

{ لَكُمۡ دِينُكُمۡ وَلِيَ دِينِ }

NYINYI MNA DINI YENU NA MIMI NINA DINI YANGU. .

--mwisho wa kunukuu--

Kwanini mnataka tufanane?!
Nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu!
Nyinyi mna ibada zenu na sisi tuna ibada zetu!
Nyinyi mna sala zenu na sisi tuna swala zetu!
Nyinyi mna zaka na sadaka zenu na sisi tuna zaka na swadaqa zetu!
Nyinyi mna funga zenu na sisi tuna swaumu zetu!
Nyinyi mna hija zenu na sisi tuna hija na Umra zetu!
Msilazimishe tufanane wakati dini zetu ni tafauti na hivyo swala zetu haziwezi kufanana na sala zenu!
Zaka na swadaqa zetu haziwezi fanana na zaka na sadaka zenu!
Swaumu zetu haziwezi fanana na funga zenu?
Hija zetu haziwezi fanana na hija zenu!.
Sisi tunafanya ibada kulingana na tulivyofundishwa na mtume صلى الله عليه وآله وسلم wala hatuigi dini ya mtu yeyote kwa sababu
NYINYI MNA DINI YENU NA SISI TUNA DINI YETU katu! Ibada za kiislamu haziwezi fanana na ibada za dini yoyote nyingine.
Sasa kama mnaona nyinyi ndio mnafunga sawasawa endeleeni hivyohivyo na sisi tunafunga kulingana na tulivyofundishwa na mtume wetu
صلى الله عليه وآله وسلم.
Lakini mwisho nawauliza tena swali ambalo hamtaki kulijibu.
Yesu alifunga siku arobaini usiku na mchana!
Nyinyi ni shetani gani aliwafindisha kufunga mchana na kula usiku?!
Andiko la kuruhusiwa kula usiku mumefundishwa na nani?!
Kwanini mnashindwa kumuiga bwana yesu au imani zenu ni ndogo ?!
sasa kwa nini mnachukia ukiona mtu anakula hadharani tena wengine huenda mbali kwa kumpiga mtu anayekula hadharani
 
Siku hizi post za maana zimeisha, lengo la post yako ni kushindanisha funga au!!! Wakubwa sasa nyie, haya mambo ya kiuchizi hayafai, kama kweli umefunga kwaresma au yoyote Ile, ajuaye ni Mungu wako, sasa unafunga halafu unawasema wenzako kuwa hawana kitu, huo ni ujinga.
 
1. Yesu ni Mungu na Mwanadamu kwa Wakati Mmoja

Katika Ukristo, Yesu anafahamika kama Mungu aliyefanyika mwili (Yohana 1:1, 14). Hii inamaanisha kwamba Yesu alikuwa na asili mbili:

• Asili ya Uungu – Kama Mungu, Yesu ana uwezo wote, anajua yote, na yuko kila mahali.

• Asili ya Ubinadamu – Kama mwanadamu, Yesu alihisi njaa, uchovu, na majaribu kama binadamu wengine.

Katika Wafilipi 2:5-8, Biblia inaeleza kuwa Yesu alijinyenyekeza na akajifanya mdogo kwa kuvaa ubinadamu, ingawa alikuwa sawa na Mungu. Hii inamaanisha kwamba alipokuwa duniani, aliamua kwa hiari yake kutokuwa na baadhi ya haki zake za uungu ili aweze kuishi kama mwanadamu kamili.

2. Kwa Nini Yesu Aliruhusu Kujaribiwa?

Yesu hakujaribiwa kwa sababu alikuwa na udhaifu wa kiroho, bali kwa sababu alikuja kuwa mfano kwa wanadamu wote. Biblia inasema:

• Waebrania 4:15 – “Kwa maana hatuna Kuhani Mkuu asiyeweza kushiriki nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.”

Kwa hivyo, Yesu alijaribiwa ili aonyeshe jinsi wanadamu wanavyoweza kushinda majaribu kwa kutegemea Mungu na Neno Lake.

3. Kwa Nini Shetani Alimjaribu Yesu?

Shetani hakujaribu Yesu kwa sababu hakujua kuwa ni Mungu, bali alijaribu kumshawishi Yesu atumie nguvu zake za uungu kwa ajili yake mwenyewe badala ya kutii mapenzi ya Mungu Baba.

Majaribu aliyopitia Yesu yanafanana na yale wanadamu wanakutana nayo kila siku:

1. Kubadilisha mawe kuwa mkate (Mathayo 4:3) – Jaribu la tamaa ya mwili (njaa).

2. Kurukwa kutoka juu ya hekalu (Mathayo 4:5-6) – Jaribu la majivuno na kutaka kujionyesha.

3. Kupewa falme za dunia kwa kumsujudia Shetani (Mathayo 4:8-9) – Jaribu la tamaa ya mali na mamlaka.

Yesu alishinda kila jaribu kwa kutumia Neno la Mungu, akisema “Imeandikwa…” kila mara, akionyesha kuwa nguvu ya kweli ni katika kuitii Biblia.

4. Je, Shetani Aliwezaje Kumpandisha Yesu Juu ya Hekalu na Milima?

Katika Mathayo 4:5 na Mathayo 4:8, Biblia inasema kwamba Shetani “alimchukua” Yesu juu ya kinara cha hekalu na juu ya mlima mrefu. Hii inaweza kufasiriwa kwa njia mbili:

• Kwa kweli – Shetani alimsogeza Yesu kimwili kwa uwezo wa kipepo.

• Kwa maono – Yesu alionyeshwa haya katika maono, kama ndoto ya kiroho.

Haijalishi ilivyotokea, kilicho muhimu ni kwamba Yesu alikataa kumtii Shetani na kushikilia ukweli wa Mungu.

Yesu alijaribiwa sio kwa sababu hakuwa Mungu, bali kwa sababu alikuwa pia mwanadamu. Aliruhusu hilo ili aweze kuwa mfano mzuri kwa wanadamu na kutufundisha namna ya kushinda majaribu. Shetani alijaribu kutumia udhaifu wa kibinadamu wa Yesu (njaa, mamlaka, na utukufu), lakini Yesu alisimama kwa Neno la Mungu na hakushindwa.
Asili Ya kitu Huwa hakipotei Kwa hiyo Yesu Alisimama kwa Neno la Mungu?
Mi nilijua utaandika kama hivi:

Yesu alisimama kwa Neno lake!
Wakristo hamna tofauti na Wahindi wanao Amini Ng'ombe Ni Mungu Wote Akili kisoda.
 
Back
Top Bottom