Uchaguzi 2020 Binafsi nimpongeza sana Tundu Lissu kugombea Urais 2020

Haya mpeni hizo kura zenu. Tunaoelewa hizi vitu tunajua kinachoendelea, tunaenda na JPM. Na nguvu zetu haziko mitandaoni siku hizi ziko kwa wananchi
Nguvu zipo kwa polisi na mtangaza matokeo + masanduku ya ziada..
 
Acha nidhamu ya uoga mkuu, Lissu ameonesha nia ya kupeperusha bendera ya urais na anao uwezo huo, endapo atapitishwa na chama/vyama vya upinzani kugombea nafasi ya urais tumuunge mkono, kwani Lissu ni mzalendo wa kweli wa taifa letu.

Tumeona uelekeo wa michango yake kwa taifa akiwa bungeni na nje ya bunge, Lissu ni mzalendo haswaaa huwezi mlinganisha na jiwe and Co.ltd wanaolazimisha uzalendo baada ya kuliumiza taifa kwa mda mrefu.

Hizo kelele nyingi na kauli za kebehi kuonesha Lissu si mzalendo, ni kibaraka na anatumiwa na mabeberu wasioitakia mema nchi ni kauli za kisiasa toka kwa walioshindwa na kukosa hoja madhubuti ya kumkabili Lissu, ila raia tunajua na kuelewa mtetezi wa kweli wa rasilimali zetu ni nani,

Hofu yako ni visasi endapo Lissu atapata nafasi ya kuongoza nchi yetu, ila Lissu si mtu wa visasi kama unavyo dhani, na kwa nini awe na visasi ni mambo gani mabaya mliotendea mpaka muwe na hofu kiasi hicho? Je? Wewe ni miongoni mwa Wasiyojulikana waliotaka kuondoa uhai wake kwa risasi zaidi 38? Wahenga walisema muovu hukimbia hata kivuli chake...! Lissu akipata nafasi ya kuombea kiti cha urais, tumuunge mkono anatufaa sana watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaota ndoto za mchana wanaziita alinacha
 
Haya mpeni hizo kura zenu. Tunaoelewa hizi vitu tunajua kinachoendelea, tunaenda na JPM. Na nguvu zetu haziko mitandaoni siku hizi ziko kwa wananchi
Zile za kununua wabunge mil 60
 
Tuache ushabiki wa kisiasa, tuwe wazalendo wa kweli! Tusiende mbali sana kutoa historia! Wasimame tu mkulu na Lisu dakika 5 tu za kujieleza, nafikiri Lisu atamgonga za uso mkuu za kutosha, kama ni nundu basi mkuu atavimba uso mzima!
Lukoma sasa si wakati wa ngonjera ndio zimetufikisha hapa. Tunataka historia ya utendaji ambayo kwa JPM imejidhihiri kwa zaidi ya miaka 20 serikali.

Yeye ndiye mbunifu wa ujenzi wa barabara za lami kwa pesa za ndani ambapo alianza na bajeti ya tsh 1.2bn lakini kufikia leo nchi nzima inapitika. Thats why we trust him.

Lissu anakumbukumbu ipi yenye alama kwenye maendeleo endelevu ya Watanzania??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K
Kwani Lisu amewahi kuwa waziri?
 
Lissu alikata bima ya matibabu kWa hela tulizomchangia then hana njaa kama hapo Lumumba kila kitu nyinyi pesa za maafa korosh yaa ni utapeli tuu nyie
 
Bora tutinduane tukose pa kukimbilia mim nikipewa mk 47 nikamwage pale Lumumba hata bure tuu
 
unamaanisha tuendelee na jiwe etiee[emoji196] [emoji216] [emoji218] [emoji90] [emoji83]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama mbwai mbwai tu wacha aje kieleweke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mpeni hizo kura zenu. Tunaoelewa hizi vitu tunajua kinachoendelea, tunaenda na JPM. Na nguvu zetu haziko mitandaoni siku hizi ziko kwa wananchi
Kura yako moja itatusaidia nini ?
 
Reactions: mmh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…