Binafsi siamini ni kweli Tanasha na Mondi wameachana

Ulivyosikia tetesi kuwa wanadate hukuamini formula hiyohiyo pia iapply hapa
 
Kwanini udhalilishe watu huyo jamaa unayemwambia sijui anatoka kimapenzi na mondi ana mke na masuala ya mavazi ni kazi yake uoni ni Kama kumkosea heshima
Sijataja jina mieeeeh kwahiyo usihusishe usichokijua, halafu pia pole yako kwa kudhan kuoa ndo kunazuia Hilo kuwepo ili Hali ni interest ya mtu. [emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijataja jina mieeeeh kwahiyo usihusishe usichokijua, halafu pia pole yako kwa kudhan kuoa ndo kunazuia Hilo kuwepo ili Hali ni interest ya mtu. [emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Usioongee vitu ambavyo huna ushahidi navyo mtu mwenyewe humjui zaidi ya kumuona kwenye social media.Hiv kwa mfano akakuchukulia hatua za kisheria wewe utajitetea Nini mahakamani? Tumia mkono wako vizuri kuandika vitu vyenye kujenga kuliko kutuumu vitu ambavyo huna uhakika navyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…