Binafsi sioni umuhimu wa Teknolojia kama bado tunapiga kura kwa kupanga mstari

Binafsi sioni umuhimu wa Teknolojia kama bado tunapiga kura kwa kupanga mstari

fungi06

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2020
Posts
738
Reaction score
1,017
Ninashangaa mno kuwa mpaka sa ivi tuna watu wenye uwezo wa kudukua mawasiliano ya watu ila amna mwenye wazo zuri laku rahisisha watanzania wote kupiga kura.

Yani kwa jinsi bus la teleology linavyo kwenda kasi basi watu pia tunatakiwa tuendane na iyo kasi japo kwa maendeleo tu.

Naomba ushaguzi ujao hali isiwe ivi kupangishana mistari kama tunaenda pakuliwa makande.

System ya kupiga kura inatakiwa iwe ya kisasa kuepusha jam na wengine tuendelee na ishu za maendeleo sio kupanga mstari sa 12 asubuhi mpka 12 usiku tutakula mstari?

IT embu shirikianeni mje na wazo zuri la kuepusha ili tatizo acheni dukua tu maongezi ya watu mtajipa kisukari.

Mod mnatabia chafu mda mwingine.
 
Umeona eeh mwaya!

Vipi wenzetu jirani Kenya mimi nawaona kama role models wetu wenyewe huwa wanafanyaje? Ijapokuwa hata kama wao hawajaanza tutaanza sisi wao wafuatie!
 
USA wanapiga kura kwa kupanga mstari?

USA si ndio Taifa kubwa?
 
Kupiga kura hata Ulaya ni kupanga foleni. Changamoto ya upigaji kura ni kuwa kura ni siri na njia nyingi za tehama zinaweza fanya mtu kujulikana kuwa kampigia nani.
 
Ndio maendeleo tunayojivunia, hivi hujashangaa karatasi ya kupigia kura kama gazeti. Watu wanakuwa weupe sisi tunazidi weusi.
 
Ninashangaa mno kua mpaka sa ivi tuna watu wenye uwezo wa kudukua mawasiliano ya watu ila amna mwenye wazo zuri laku rahisisha watanzania wote kupiga kura...
Kuna BVR zinaweza kufanya hiyo kazi, tatizo ni CCM haitatoboa uchaguzi ukifanyika kwa njia ya electronic vote
 
Kama kura zinaibiwa na wapigakura mpo physically kituoni, itakuwaje kura zikipigwa online!!??
Online ni ngumu sn kuiba maana mpk wakaibe kwenye backend na siyo hivyo pia kutakuwa na screen, mbona kura za twitter na kwingine wanashindwa kuiba?
 
Ninashangaa mno kua mpaka sa ivi tuna watu wenye uwezo wa kudukua mawasiliano ya watu ila amna mwenye wazo zuri laku rahisisha watanzania wote kupiga kura...
Hata Usa pamoja na maendeleo makubwa ya teknolojia watu huwa wanapanga mstari na kupiga kura. Trump amesema hataweza kuachia nchi kama watapiga kura kwa posta.
 
Hata Usa pamoja na maendeleo makubwa ya teknolojia watu huwa wanapanga mstari na kupiga kura. Trump amesema hataweza kuachia nchi kama watapiga kura kwa posta.
Kweli!!... hi habari mpya maskioni mwangu
 
IT wapi unaowazungumzia hapa Tz,hawa wanaojua kuzima mtandao tu na kudukua umbea.
 
Kutumia technology kwenye kupiga kura ni sawa na kudai rasimu ya katiba ya warioba mbele ya chama tawala hivyo sahau hiyo habari unayo idai ingawa technology hiyo ipo siku nying na kenya wamewahi kuitumia mara moja lakini walipo ona ina sema ukweli tupu wakarudi kwenye kupanga folen na makaratasi kwa sababu kina urahisi
 
Back
Top Bottom