Binafsi sioni umuhimu wa Teknolojia kama bado tunapiga kura kwa kupanga mstari

Binafsi sioni umuhimu wa Teknolojia kama bado tunapiga kura kwa kupanga mstari

Kutumia technology kwenye kupiga kura ni sawa na kudai rasimu ya katiba ya warioba mbele ya chama tawala hivyo sahau hiyo habari unayo idai ingawa technology hiyo ipo siku nying na kenya wamewahi kuitumia mara moja lakini walipo ona ina sema ukweli tupu wakarudi kwenye kupanga folen na makaratasi kwa sababu kina urahisi
Ivi kumbe sasa embu nidokeze ilitokea nini?
 
Walioendelea kiteknolojia wanapigaje? Mbona nao wanapangaga mistari? Na je uchaguzi wa safari hii ni wapi kulikua na jam?
 
USA wanapiga kura kwa kupanga mstari?

USA si ndio Taifa kubwa?
Wanapanga mstari ndio. Hapa ni kura za awali usa mwezi huu yaani wiki hii hii..
61B9F4CA-0161-44E4-8BD5-097569DBB469.jpeg
 
Back
Top Bottom