Binamu Bananga: CHADEMA tunakutana kujadili mahojiano ya Rais Samia na BBC ili kujibu nini? Nasisitiza tusikurupuke

kwa hiyo mnataka akubaliane na ile kauli ya yule jamaa aliyeko Canada watu wasusie bidhaa na huduma eti serikali ikose mapato..

Hilo la Lema linatosha kabisa kuona upumbavu mwingi kwa watu eti tunawategemea ni chama mbadala na tuwape dola...
M-Canada alitakiwa awe waziri wa mambo ya ndani Lissu angeshinda
 
Ukweli upi hapo umetuambia? Chama kife kivipi kwa mawazo yako chama kitakufa? Swali kwako ebu ni tuelezi watu ambao tayari wamehukumiwa kwa hiyo kesi ya ugaidi maana Samia kasema tayari wengine wamehukumiwa wataje waliohukumiwa kwanza, tuanzie hapo
Ukweli upo.
Jaribu kufikiri WAZO la kugomea huduma serkali ikose mapato.
Yaani ugome kupanda gari
Ugome kunywa maji
Ugome kutumia Umeme
Ugome kunywa dawa za hosp
Ugome kununua nguo
Ugome kununua chakula
Je zoezi hili linawezekana kwa Tz? Wazo la KIJINGA ambalo haliwezi kutekelezeka

Vijiwe vya Twiter, sio zamani kulikuwa na michango , angalau kuweka mawakili sio mijadala tu.

Kumbe CDM ni Mbowe ndio maana anakuwa mwenyekiti wa maisha wengine wote hawana vision yoyote.

Kupoteza muda kujadili mazungumzo ya BBC na Rais, yataleta impact gani?
 
Kuna ulazima wa kujibu kila kinachosemwa na Raisi.? Binanga yuko sahihi
 
Namhurumia sana Shemeji yangu Hawa kwa kuwa na mtu kama huyu. Kwakuwa Shemeji yetu Hawa ndio kila kitu kwenye familia basi naamini ipo siku atapata mwanaume wa kweli mwenye heshima na anayejua kutafuta.

Bananga siku ukiachwa ndio utajua mwanaume sio kuvaa suruali bali ni kupambana
 
Hii sio mada ya hapa. Peleka kwenye uzi wake au kafungulie uzi wake huko tutakuja kujadili.

Hata maofisini ndio mnaharibu kazi hivi hivi, file la huku mnapeleka kule halafu kazi zinachelewa kutekelezwa.
Swali likijibiwa kwa jibu mambo uwa shwali.
Bananga anatakiwa kujibu swali langu linalotokana na uzi wake wa kufikirika / Kusadikika. Ref Shabaan Robert
 
Bananga tunajua mkeo ni covid 19

Endelea kula posho acha kelele
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…